Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #61
We ni mtoto wa 1960?Mtoto wa 2000 ,ina maana umeshindwa hata ku-Google?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mtoto wa 1960?Mtoto wa 2000 ,ina maana umeshindwa hata ku-Google?
Manchester Utd, Chelsea, Wydad, Makolo n.k wana miaka mingapi hawabebi makombe? Unataka kusema hawa nao ni wadogo kwenye mabara yao?Wanamiaka mingapi Sasa hawabebi kombe ?
Pavel nedvedjuve ya edgar davis 🕶️
anacheza na miwani ilikuwa balaaa😁
Kwa vyovyote lazima utakuwa umeanza kushabikia mpira miaka ya hivi karibuni. Yaani vibibi kizee wa Turin wakose mashabiki? Mbona huulize AC Milan au Inter? Kikubwa ni kwamba Bongo tunashabikia zaidi EPL na La LigaHii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Hii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
ana matege, ana nguvu balaa,, mishuti kwelikweli,,Pavel nedved
Nahisi ligi za huko ni tofauti na huku bongo. Juve walishajijitengeneza mashabiki miaka mingi iliyopita, hivyo hata kwa sasa isipobeba makombe mashabiki wanabaki na timu yao tu.Hii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Imeshawahi kutwaa ubingwa zaidi ya mara tank mfululizo na kufika fainali mbili uefa ndani ya misimu mitanoHii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Kwa niniWalikuwaga, sio sasa
Na man u je?Kumbe kihistoria okay sawa now naona ni timu ndogo
Kwa hiyo man united sio timu kubwaTimu kubwa kivipi mzee miaka mingapi haijabeba kombe labda useme timu kongwe
Juve haswa haswa.ana matege, ana nguvu balaa,, mishuti kwelikweli,,