Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Chasambi kajua kutuharibia furaha😅😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chasambi kajua kutuharibia furaha😅😂
Enzi za kina pavel nedved wewe wakina canavaro del pieroHamna Mimi sio shabiki Yao ila naona watu wanaiita timu kubwa sielewi ukubwa wa hii timu
Sawa kubwa jingaWatoto wa 2000 mambo mengine mnaweza kuyajua hata kwa kufatilia mtandaoni tu
Wanaitwa 'old lady" na wanalijua hakuna watanzania wanaanzisha msemo wa mpira wa ulaya .Hivi kwanini mnaiita kibibi kizee maana wao Hilo jina la bibi naona hawalijui ila watanzania ndio mnawaita bibi
Mtoto wa 2010 huyu...Wewe umeanza kushabikia mpira meaka gani kiasi unasema makombe hawabebi?
Haijabeba ubingwa kwa miaka minne tu, kuanza 2012 mpaka 2020 walichukua ubingwa mfululizoImebaki historia, ni kweli Juventus ilikuwa timu kubwa na bora sana Ulaya yote, hasa miaka ya 80, 90 na 2000's
Juventus ilikuwa inaogopwa hata na Real Madrid, Manchester United na timu kubwa zote za ulaya, kipindi cha kizazi cha Ronaldo De Lima, Z. Zidane, E. Davids, P. Nedved na wengine...ila kwasasa ni kweli haina tena yale makali na ule ubora
Wewe watanzania wanawaita Liverpool majogoo wa ulaya na wakati yule kwenye nembo sio kukuWanaitwa 'old lady" na wanalijua hakuna watanzania wanaanzisha msemo wa mpira wa ulaya .
Ndio kinara wa makombe ya ligi kuu, miaka ya 2010 tu hapo wamechukua serie a back to back takriban miaka 7. CR 7 kapita hapo juzi juzi tu. Washatoa mshindi wa balon d or anaitwa nedved (sidhani kama unamjua). Nafikiri wewe umeanza kufatilia mpira miaka ya karibuni wakati timu inapitia misukosuko kidogo. Kutikisika kwa timu hakuiondolei ukubwa wake. Unajua liverpool alichukua miaka mingapi kurudisha makali yake? unajua mara ya mwisho arsenal kuchukua premier league ilikua mwaka gani?Sawa kubwa jinga
Mkuu JUVENTUS ndio timu yenye mafanikio makubwa zaidi Italy kuliko zile zote za Milan na Roma, yaani AC Milan, Inter Milan na AS Roma zote hizo hakuna inayoikaribia JUVE hata kidogo achilia mbali hizi Genoa na Atalanta ndogondogoHivi kwanini wabingo wanaiita kibibi kizee wakati wao Hilo jina hawalijui mkuu
Mkuu fanya research yako vizuri. Kwamba wasiijue nickname yao.! ni sawa na kusema man utd hawalijui jina la red devils au arsenal hawalijui jina la the gunnersHivi kwanini wabingo wanaiita kibibi kizee wakati wao Hilo jina hawalijui mkuu
Labda kama haija mashabiki bongo ila ina mashabiki wengi sana ulayaHii timu inaitwa kubwa lakini naona Haina mashabiki au ukubwa wao ni upi kama makombe hawabebi aisee naishindwa kuelewa maana hata top 4 imekua shida kwao kuipata halafu inaitwa timu kubwa
Labda Italia pale turinLabda kama haija mashabiki bongo ila ina mashabiki wengi sana ulaya
Si italia tu, wametapakaa, wenzetu ulaya wana mindset za tofauti sana when it comes to ushabiki, unlike ngozi nyeusiLabda Italia pale turin
Mmh Mimi naona kama Italia ndio wamejaa hao fans wa JuventusSi italia tu, wametapakaa, wenzetu ulaya wana mindset za tofauti sana when it comes to ushabiki, unlike ngozi nyeusi
Fanya research yako vizuri, or kama umewahi kutembelea europ si chini ya nchi nne utaelewaMmh Mimi naona kama Italia ndio wamejaa hao fans wa Juventus
Sawa mkuu ngoja nifanye researchFanya research yako vizuri, or kama umewahi kutembelea europ si chini ya nchi nne utaelewa