Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ronaldo de Lima hakuwai chezea juve,Imebaki historia, ni kweli Juventus ilikuwa timu kubwa na bora sana Ulaya yote, hasa miaka ya 80, 90 na 2000's
Juventus ilikuwa inaogopwa hata na Real Madrid, Manchester United na timu kubwa zote za ulaya, kipindi cha kizazi cha Ronaldo De Lima, Z. Zidane, E. Davids, P. Nedved na wengine...ila kwasasa ni kweli haina tena yale makali na ule ubora
Hiyo miaka timu pinzani zilikua mchuzi Sasa hivi naona hata top 4 anaisaka Kwa tochikibibi kizee cha turini hiko kilichukua seria A miaka 10mfulululizo
Hivi kwanini mnaiita kibibi kizee maana wao Hilo jina la bibi naona hawalijui ila watanzania ndio mnawaita bibikibibi kizee cha turini hiko kilichukua seria A miaka 10mfulululizo
Najua alichezea Inter, nimesema kipindi cha kizazi chao wakati wao wanavumaRonaldo de Lima hakuwai chezea juve,
ni inter n ac milan,
Hivi kwanini wabingo wanaiita kibibi kizee wakati wao Hilo jina hawalijui mkuuNajua alichezea Inter, nimesema kipindi cha kizazi chao wakati wao wanavuma
However, wakati Juve inawika sana Ronaldo De Lima alikuwa akichezea Real Madrid
Sio kweli labda wa pale pale italia ila sio worldwideWapo wengi tu
Sasa Manchester nayo ni timu kubwa Sasa hiyo ni timu kongwe sio kubwa yaani mzeeKwahiyo Manchester United ni timu ndogo kwakua sasa hivi inafungwa fungwa ovyo na haibebi makombe?! Nadhani ungeingia kwanza mtandaoni uifuatilie hiyo timu vizuri uijue naamini utakuja kufuta huu uzi wako
Umezaliwa mwaka gani?Naomba majibu yenu wataalamu
,Hivi kwanini wabingo wanaiita kibibi kizee wakati wao Hilo jina hawalijui mkuu
Sasa Manchester nayo ni timu kubwa Sasa hiyo ni timu kongwe sio kubwa yaani mzee
Wanatia hasiraTunawavulia sana nyie wa 2000
Kwahiyo hiyo timu inaviashiria vya kike au ilianzishwa na mwanamke?