Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Chikenpox

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2022
Posts
784
Reaction score
1,246
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
 
Shida ya wengi wamefocus kwenye kuajiriwa! Tatizo la ajira ni dunia nzima! Na serikali haiwezi kuajiri kila mtu!! Ukitembea na mawazo hayo huwezi kuilalamkia serikali!!
Ukitaka kujua unadanganya wenzako, google tu un employment rate ya nchi za wenzetu uone kama ni sawa na yetu...Au kwako Africa ni dunia?

Kwakukusaidia angalia hapa Unemployment rate 3.7 percent in November 2022 : The Economics Daily: U.S. Bureau of Labor Statistics.

na hii nchi ni developed, kwa maana ya kuwa fursa zimeisha au zimejaa...Sasa sisi ambao wakati huo walipokuwa kama sisi walihitaji nguvu kazi huku mabara mengine ndiyo useme sisi hatuwezi kuajiri hii population ndogo kiasi hiki?
 
Ukitaka kujua unadanganya wenzako, google tu un employment rate ya nchi za wenzetu uone kama ni sawa na yetu...Au kwako Africa ni dunia?

Kwakukusaidia angalia hapa Unemployment rate 3.7 percent in November 2022 : The Economics Daily: U.S. Bureau of Labor Statistics.

na hii nchi ni developed, kwa maana ya kuwa fursa zimeisha au zimejaa...Sasa sisi ambao wakati huo walipokuwa kama sisi walihitaji nguvu kazi huku mabara mengine ndiyo useme sisi hatuwezi kuajiri hii population ndogo kiasi hiki?
Tatizo la ajira kwa vijana ni dunia nzima
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Kazi zipo, ila ukisibiri ajira, utasubiri sana, yaani Kuna madogo wameajiriwa na miaka 25, miaka 35 ijayo ndio wanatimiza miaka 60 ya kustaafu kwa lazima.

Na office zao zimefikia kikomo Cha kuajiri, yaani hata ofisini wanabanana
 
Elimu ni ufunguo wa maisha, usilazimishe ufunguo ufungue kitasa ambacho sio chake(ajira), tumia funguo kufungua mlango unaokubali
But kubali kwamba ni failure of the government hivyo inastahili lawama
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Shida ni pale mkiambiwa green mamba ni hatari mnakataa na kusema ni rafiki wa muda mrefu miaka sitini hadi tumezeeka.Hiyo ina itwa mwana kulitafutia mwana kulipata kwa mujibu wa rafiki zangu wazaramoo😂
 
Mnapenda kutoa majibu mepesi kwenye hoja ngumu....huko nchi za wenzetu suala la ajira lipo kwa Sababu ya ukuaji wa sayansi na technolojia.....Vipi huku kwetu ambapo bado tunahitaji nguvu kazi. Acheni kugeneralise mambo nyie wazungu pori.
Na kwa wenzetu kama mtu hana kazi analipwa za kujikimu !!
 
Bomu hili linatakiwa kuteguliwa na government policy kwenye idara zinazoajiri watu wengi eg. Kilimo na ufugaji, uvuvi bila hawa kuwa elimu hizi shughuli hazitakuwa na tija. Bila Vitu tegemea utapeli kila kona mashoga na wasagaji wataongezeka makanisa na manabii feki. In short taifa litaangamia this is not a joke
 
Bomu hili linatakiwa kuteguliwa na government policy kwenye idara zinazoajiri watu wengi eg. Kilimo na ufugaji, uvuvi bila hawa kuwa elimu hizi shughuli hazitakuwa na tija. Bila Vitu tegemea utapeli kila kona mashoga na wasagaji wataongezeka makanisa na manabii feki. In short taifa litaangamia this is not a joke
Mwl hawezi kuvua
 
Back
Top Bottom