Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Shida ya wengi wamefocus kwenye kuajiriwa! Tatizo la ajira ni dunia nzima! Na serikali haiwezi kuajiri kila mtu!! Ukitembea na mawazo hayo huwezi kuilalamkia serikali!!
mkikaa ofisini mmevimbiana mavitambi km msechu hamtaki lionekane tatizo kwa kuwa mpo kwenye mfumo na familia zenu.

poor you!
 
Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hihil
Siyo kwamba JPM hakuajiri tu, bali alii-frustrate na PRIVATE SECTOR ambayo ndiyo mwajiri mkubwa. Imagine kumfilisi Yusuf Manji, kwa akili yake ndogo alidhani anaye athirika ni Yusuf Manji pekee akasau na watu zaidi ya 3,000 waliokuwa wanafanya kwenye makampuni yake.

Vipi kuhusu vifo vya ma tycoon wa private sector kama Ally Mufuruki, Subbash Patel, Reginald Mengi na Salum Shamte? Wote hawa kufa kwao kuna impact na employment maana walikuwa ndiyo key players.

Fikiria Dangote alivyosumbuliwa kipindi cha Magufuli mpaka akatamani afunge virago. As such baada ya Dangote kuwa harassed vile, nchi haikuweza ku attract investor mwingine wa saizi ya mtaji kama wa Dangote. Ndiyo athari za kutawaliwa na kichaa halafu bado wajinga mnamuita shujaa
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Ndugu yangu wee.. wenyewe wanasema vijana jiajirini kwenye bodaboda, mama lishe na machinga! Hilo bomu hawalioni na siku likilipuka itachukuwa miaka 30 mizima kuirudisha nchi kwenye reli. Ndiyo maana mimi nasema hizi nguvu za kuaminisha watu kuwa rais Samia na CCM wanaipeleka nchi pazuri zingetakuwa zitumike kutahadharisha yajayo!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
TZ hili jambo limewashinda , waweke uraia pacha watu wakapambane ng'ambo tu hakuna namna.
 
Hivi wewe watoto wako wakilala njaa na asubuhi wakahoji kwanini walilala njaa;utawambia ata jirani yako watoto wake walilala njaa!
Acheni kutafuta majibu mepesi kwenye maswali magumu.
Biden mwenyewe anapambana watu wake wapate ajira lakini Tanzania nchi iliyojaa rasimali za kila aina vijana wanaambiwa eti ukosefu wa ajira ni Dunia nzima.Nonsense!
Ongezea na "stupid" 😊
 
Siyo kwamba JPM hakuajiri tu, bali alii-frustrate na PRIVATE SECTOR ambayo ndiyo mwajiri mkubwa. Imagine kumfilisi Yusuf Manji, kwa akili yake ndogo alidhani anaye athirika ni Yusuf Manji pekee akasau na watu zaidi ya 3,000 waliokuwa wanafanya kwenye makampuni yake.

Vipi kuhusu vifo vya ma tycoon wa private sector kama Ally Mufuruki, Subbash Patel, Reginald Mengi na Salum Shamte? Wote hawa kufa kwao kuna impact na employment maana walikuwa ndiyo key players.

Fikiria Dangote alivyosumbuliwa kipindi cha Magufuli mpaka akatamani afunge virago. As such baada ya Dangote kuwa harassed vile, nchi haikuweza ku attract investor mwingine wa saizi ya mtaji kama wa Dangote. Ndiyo athari za kutawaliwa na kichaa halafu bado wajinga mnamuita shujaa
Pamoja na mazuri yake meeengi, hapa alichemka sana!
 
Swala la ajira halijawahi kuwa addressed vizuri tangu ifanyike Structural Adjustment Program ambayo lengo lake kuu ilikuwa hii ya vijana wetu kukosa ajira ili waweze kutumia remote control zao through leaders na democracy uchwara ku destabilize governments ambazo hazitekelezi matakwa yao...

Laiti viongozi wangejua salama yao ni kuhakikisha ajira ipo kisha hata mzungu akileta mambo yake hakuna ambaye atamsikiliza...JPM alishindwa pia kuliona hilo
 
Nilichogundua ni watu wetu kuwa na uwezo mdogo wa ku forecast...Kuna mambo unajiuliza hivi hawa walioamua haya waliwaza nini hasa?

Yet bado unaona watu wanafikiria ndani ya miaka ya uchaguzi tu badala ya kuwa na mikakati ya kibinafsi, ya uchaguzi, na ya taifa ili kuwe na consistency...Planning skills zetu ni finyu mno mno!
 
Shida ya wengi wamefocus kwenye kuajiriwa! Tatizo la ajira ni dunia nzima! Na serikali haiwezi kuajiri kila mtu!! Ukitembea na mawazo hayo huwezi kuilalamkia serikali!!
Je, Serikali nayo imewekwa mazingira rafiki ya hao vijana kujiajiri? Hapa namaanisha sera na mitaji.
 
Mkuu unashangaa watu 100 kwenye interview! kuna kazi zikitangazwa wanaomba watu zaidi ya elfu kumi......hali ya ajira kwa vijana ni mbaya sana lakini watawala hawajali zaidi ya kushindana kukwapua.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili

Tumekusikia, haya mpongeze Rais na serikali yake
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Bongo kulipuka mtafanyaje??? Kenya, Nigeria hizi hali walikua nazo muda sana na maisha ikabidi yasonge na jamaa ni watata kuliko hata wabongo, ukishazielewa serikali za kiafrika, mapema jiongeze mwenyewe ila ukisikilizia serikali ifanye jambo unaweza ukafikia umri wa kikongwe bado unalalama tu, kikubwa omba Mungu endeleza mapambano serikali kama itakukuta basi mbele kwa mbele., hii hali ya sasa ni mwanzo tu magraduate wanazidi fyatuliwa huko vyuoni, na vijana huko sekondari div 1 zimekua mingi za kutosha kwahio wengi sana lazima waingie vyuoni, ila naona mbeleni itasaidia hizi akili za kwamba nifaulu nipate kazi nzuri zitapotea, kitakuja kile kizazi ambacho mtu anatumia vipawa vyake na elimu kufanya yake maana digirii zitakua za kumwaga mitaani
 
Back
Top Bottom