Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Hivi hili bomu kweli viongozi hawalioni? Unemployment rate imekuwa kubwa mno

Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Unemplyment kubww ila cha kushangaza kuna bilion kama 800 hivi zimepotea hivi hivi mama hana hata habri yeye anaponya nchi
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili
Rudi chuo kasone fani zisizo na ushindani mkubwa

Somo lipi lina ajira unatakuwa kufanya research kabla kuomba kusoma

Usisome tu kimkumbo matokeo ndio hayo

Soma rare proffession hot cake
 
Rudi chuo kasone fani zisizo na ushindani mkubwa

Somo lipi lina ajira unatakuwa kufanya research kabla kuomba kusoma

Usisome tu kimkumbo matokeo ndio hayo

Somema rare proffession hot cake
Kama.ualimu umekuwa issue siku siku hizi ipi fani Ina unafuu
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili

Huyo anayeita watu 100 naye ni mwehu, siwezi ajiriwa naye
 
Hivi imefika hatua kweli nafasi moja inagombaniwa na watu zaidi ya mia moja?

Leo nimeenda kufanya interview ya kufundisha hesabu shule inaotwa st James English medium IPO banana kitunda Cha ajabu nafasi moja tu inayotakiwa nimekutana na watu zaidi ya mia tena hesabu. Nimeahilisha sijafanya kabisa.

Hivi viongozi hawalioni hili kuwa ni bomu Soon litalipuka. So many graduates are in street na wengi walirundikwa kipindi Cha jpm mana hajaaniri kabisa. Sasa serikali kwa nini isiache mambo yote na kushughurika na hili


Wafanye lectures on line kama mwalimu akiwa competent atajipatia ulaji via subscription mbali na kujenga jina, Mbona Wazungu na wahindi nk wanafanya mambo hayo isipokuwa waafrika ni wachache mno.
 
Back
Top Bottom