Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

Watu wengin walibidi wazikwe wazima wazima bila huruma.
 
Ulishawahi nunua simu bila manual book??
 
Kama si za kweli kwa nini waislam wameiga mengi kutoka ukristo uliotangulia miaka 600 kabla ya uislamu?
 
Haya kitabu kipi kinasema ukweli hapo???
 
Dini yako na wale wanaojilipua ni kitu kimoja pia siyo?hupaswi kupinga we Boko haram/Alshaabab maana kila mtu na imani yake

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
 
picha za kuchora
 
ndugu yangu we soma biblia ndio taa ya maisha itakuelekeza wapi ni sahihi..... usikubali kusomewa huo ni mpango wa shetani
 
Kama Mama Havinitishi Musa...Shes a GOD!
mama aliyesadiwa na JPM ,alichukuliwa na POLISI hizi hapa sababu via YouTube
 
Asee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…