Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Majitu yamejaa nongwa tu! Kila anachofanya huy mama yanaona haiko sahihi! Yalizoea kuimba mapambio ya utawala ule!Mmmmmm wakikujibu hili nawe jibu lile la yule kugawa fedha kwa wananchi wakati wa ziara yake,je alipitisha bajeti ile wapi?