Hivi huko Marekani hawana misosi mingine zaidi ya mikate na jamii ya vyakula vya ngano?

Hivi huko Marekani hawana misosi mingine zaidi ya mikate na jamii ya vyakula vya ngano?

Hapa Usa River niko na machalii tunagonga kitu ya coco beach na salad za kutosha tunakuzoom tu. Au uko USA ipi?
 
Wanakula burger, mara pizza, mara keki, mara mikate, wale hata chapati na maandazi wanakula. Ngano inatumika sana. Sisi huku mwendo ni ugali tu, tukibadilisha ni wali au ndizi ongeza na makande jumlisha na viazi na mihogo
 
Mzee Ngonyani....Marekani ni kubwa mno.

Njoo Texas/Dallas/ Arlington ....Nenda Fiesta.

Nenda Hongkong Market.

Utapata karibu kila kitu Mkuu.

Uko wapi wewe...
Cassavaleaves , Simaanishi havipatikani, inategemeana na eneo unaloishi kama Kuna watu wengi wa jamii yako kama vile watu wa kutoka East Africa, kunakuwa Kuna urahisi Fulani wa kupata hivyo vya kula. Mfano Kuna jamii kubwa za wahindi, wasomali na watu wa west Africa hasa Ghana na nigeria.. unakuta Wana migahawa yao, sisi East Africa wakenya ndo wengi Marekani nandio tunawategemea kuleta vitu angalau vina fafanana na vya nyumbani ,lakini bado ni gharama .Kuna eneo unajikuta wewe tu ndo mwafrika au wakuhesabu huwezi pata vyakula vya kiafrika mpaka usafiri au uagize
 
Ingawa sio niliyepost.....Sio fix kabisa Mkuu...

Hii ni African Market jirani yangu.....Dagaa....Sembe......Kisamvu.......Samaki wa kukausha........products nyingi za Kenya/Nigeria/Ghana zinapatikana hapa...

View attachment 2909249

Eli's African Market | African Food Store in McKinney

View attachment 2909250
Eli’s African Market
https://elisafricanmarket.com



Eli’s African Market | African Food Store in McKinney. Areas Covered. Collin County. Eli's African Market. 1434 N. Central Expy #102. McKinney. Texas. 75070. +1 214-842-8121Directions.

Products · ‎About Us · ‎Contact Us · ‎Our Team
Huko hakuna masoko kama buguruni au stereo.

Hakuna wanaopanga vitu kwenye meza barabarani, miguu ya kuku haipo?
 
Wanakula burger, mara pizza, mara keki, mara mikate, wale hata chapati na maandazi wanakula. Ngano inatumika sana. Sisi huku mwendo ni ugali tu, tukibadilisha ni wali au ndizi ongeza na makande jumlisha na viazi na mihogo
Ndiyo maana Wamarekani wana miili mikubwa?

Sent from my SCV48 using JamiiForums mobile app
 
Nina safari ya kama week mbili huko Boston marekani, nimejaribu kucheki vyakula vyao huko naona wanakula vyakula vyenye ngano zaidi na mimi sio mpenzi wa vyakula vyenye jamii ya ngano.

So nauliza wenye experiences za huko, hakuna misosi mingine zaidi ya hiyo kama ugali,wali etc?
Tafuta migahawa ya Wachina au Waspanish.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kuna restaurants za vyakula vya Bongo Ila ni very expensive ugali unaouzwa huku bei cheap kule bei juu, huo wali ndio usiguse bei juu alafu ladha SIO ya huku hata Tambi ladha ya huku na HUKO hazifanani

Hii ni chai
 
Ukifika tafuta restaurants za Mexicans vyakula vyao ni sawa na vyetu.

Pia kuna migahawa ya waafrika yenye utapata African foods.
 
Nina safari ya kama week mbili huko Boston marekani, nimejaribu kucheki vyakula vyao huko naona wanakula vyakula vyenye ngano zaidi na mimi sio mpenzi wa vyakula vyenye jamii ya ngano.

So nauliza wenye experiences za huko, hakuna misosi mingine zaidi ya hiyo kama ugali,wali etc?
nyama zipo
 
Nina safari ya kama week mbili huko Boston marekani, nimejaribu kucheki vyakula vyao huko naona wanakula vyakula vyenye ngano zaidi na mimi sio mpenzi wa vyakula vyenye jamii ya ngano.

So nauliza wenye experiences za huko, hakuna misosi mingine zaidi ya hiyo kama ugali,wali etc?
Kila Aina ya chakula ipo...
Ni wewe tu.
Ukikuta wenyeji, uliza super.market za African food.
Unga wa Ugali upo, magimbi, maboga, parachichi, ushindwe mwenyewe..
Hat ukienda hotel, kuna vyakula vya ukanda wowote wa Dunia hii.
 
Mkuu Boston kuna restaurant zaidi ya 10 wanazouza misosi ya Kiafrica, kuna moja inaitwa Karibu Restaurant ipo Waltham, hapo misosi ya kiswahili ipo ya kutosha na bei zao ni rafiki kuanzia $8-20
photo0jpg.jpg
 
Mkuu Boston kuna restaurant zaidi ya 10 wanazouza misosi ya Kiafrica, kuna moja inaitwa Karibu Restaurant ipo Waltham, hapo misosi ya kiswahili ipo ya kutosha na bei zao ni rafiki kuanzia $8-20
View attachment 2909723
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom