Hivi huku Mbweni wanaishi Watanzania? Haya majengo sio poa

Mkuukama hutojali naomba hiyo ramani DM nami nijipe stress nayo. Ahsante
 
Kivule nina site hapo mkuu, karibu na hospital ya wilaya!
Kwa kuwa hii uliyoisema umetoa detail za kutosha, natumaini utapata mteja tu!!
Nilihitaji hii ya mleta kama tutaelewana!!
 
Noma sana!
 
Uza kiwanja hamia Kitunda kwa wakurya wenzio hutajuta
 
Weka fensi jenga kabanda mwenye pesa akitaka mwambie ni 2B.Mali ni yako na hati ni yako,usiwe na shobo sijui jirani ana hekalu anayetaka atoe 2B mpige biashara.
 
Kwa bahati nzuro hao wanaojenga hizo ghorofa kwa fedha chafu huko wanastafu wakiwa 65, wanaongezewa muda mpaka 70 years, wakija kuhamia huko miguu haiwezi panda gorofani, wanaishia chini house boy analala juu.
Wanakufa na kuzikwa na kuachiwa watu wakitumbua.
 

😀😀
 
Picha wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…