The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mama. Edina vita ya mapenzi na boss haijawahi kumwacha .tu salama kazinNilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi
Wewe ni Mwanamke au mwanaume mkuu??Mabosi wenye wivu, fitina, chuki, hila, n.k ndo walivyo! Yeye anadhani akiwa boss ndo atetemekewe na kila mtu! Mxiuuuh! Hao ni malofa! Ishi maisha yako mwamba ili mradi unatimiza vizuri majukumu ya ajira yako
Hizi neema mbona wengine huwa tunazisikia tu, kama si chai huyo Jamaa alikuwa na kismat sanaNilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi....suku moja nilimtamkia..nikikuvuliq nguo ya ndani labda sio mimi..labda iwe ndoto. Bosi mjinga sana
Hapa sijakupata vizuri yaani aliweza kusema utendaji wako ni poor wakati ukweli unaonekana au ni vipi yani?Naamini mwishooo utaongea ukweli hayamambooo ya kutaka kushare na boss mizigooo haijawahi kukaa salama mkuu
Niliwahi kuwa kampun moja ya airline nkanza kushare mzigo na boss bila.kujijua bahati mbaya same boss nakunywa nae pale kinondon those days gagla ikaanzishwa karatasi ya performance mkisafiri nakurudi anandika vgud a.a gud ama poor loh mkuu kama umezamia huko toka hakuna rangi niliacha kuona...ofisin
Mpaka nkaomba likizo nirudi nikiwa sawa kipindj cha likizo nkimwona naomba radhi mkuu chochote kibaya tu.mefanyjana nisamehee m mdogo sana bado nahitaji maisha ....
Itaendelea
Boss agusiki
Kwakua ameandika neno ''Mxiuuuh?"Wewe ni Mwanamke au mwanaume mkuu??
Vipi lakini boss alifanikiwa lengo lake la kukuvua au alishindwa mazima and the rest was history with u'r Co-worker...!?Nilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi....suku moja nilimtamkia..nikikuvuliq nguo ya ndani labda sio mimi..labda iwe ndoto. Bosi mjinga sana
Yaaah yaan napenda kazi mkuu sasa tulipojuana gafla nikisafiri niko nae kurudi anajaza poor mara gud nikiwa na wengine naenda na excellent ikafika nkaomba anetupanga asinipange na boss lakini wapi alipo yupo...nkaitwa. a hr nkajieleza waangalie za wengine wakavuta pale hr alikuwa kijana alafu mcheshi akaniuliza dogo uneingia 🔞 za boss nn nkaenda straight kaka nimekoma achatu hii vita n nje ya ofisi.....Hapa sijakupata vizuri yaani aliweza kusema utendaji wako ni poor wakati ukweli unaonekana au ni vipi yani?
Vipi baada ya Co worker wako kushushwa cheo uliendelea nae?Nilikuwa natembea na Co worker..bos akamshusha cheo....eti kwa sabab ananitaka..wanaume nyie mafisi....suku moja nilimtamkia..nikikuvuliq nguo ya ndani labda sio mimi..labda iwe ndoto. Bosi mjinga sana
Shida hata wakimpelekea stori zozote juu yangu ikiwa ni nje ya kazi je inaathiri chochote kwenye kazi yangu? Maana hata nikiwa nao hao wadau tunaongea mambo yetu tu na mitikasi zingine za kimaisha baas.Kua makini na hao unaowaita Kampani yako,
Hao ndio wanaotoa habari zako kwa huyo Boss,
You have to stop letting other people's opinions control you,
Live the life u love,love the life u live.
shida / changamoto ya akili ni kubwa sana kwa sasa nchini tanzaniaBojour wazeeee.......!!!!
Watu wengine makomwe sana.....
Sawa pombe nakunywa ila ni baada ya kazi na kesho on time nimefika jitu linaenda kwenye uongozi wa juu kutangaza aaaah jamaa mitungi saaana wakati sijawahi kufika job nimelewa. au kunywa muda wa kazi. Na uchafuzi wake huu lengo nifukuzwa kazi. Huu ni uchawi grade one na uchawi hauendi kwa mentali(In profesa Jay's voice)
Jitu linanitangaza na kunichafua hivyo wakati nalo usiku tunakutana viwanja ila mi nakuwa na kampani yangu yeye anakula mpweke roho inamuuma kisa ni bosi na hana company alafu mimi surbodnate tu kampani kibao na Ina watu wenye uwezo kuniliko kwahiyo meza yetu huwa nachafukaa balaaaa mavinyaj ya gharama nikiingia viwanja Mimi ni alwatan kuliko yeye.
Nikaona isiwe shida labda kampani yangu inamtisha boss nikawa nahama viwanja mradi tu nisiende pale anapopapenda lakini anauliza watu jamaa Jana alikuwa ananywea wapi mtungi mradi tu anifatilie maisha yangu ya nje ya kazi
Imefika hatua hata kama kuna safari zenye viposho vya hapa na pale jamaa yuko radhi watu wengine waende hata mara nne nne tena ambao kiuwezo na uwajibikaji nimewazidi vizuri hapo Mimi sijaenda hata safari moja(Nazungumzia safari za mikoani maana ndiyo zina posho kubwa) lakini Mimi nauchuna tu kama vile sioni na sijawahi kuhoji Wala nini......I'm just living my life.
Ila hanipati hata kidogo namchora tu mbaya zaidi ni kijana yuko early 40s wala sio mzee ila ana uzee mwingi.
Jana blue monday jioni flani tulivu baada ya kusign out job kanikuta site nafunga king'amuzi cha VALEUR kubwa pembeni na pisi kadhaa kanikata jicha kali sana Mimi ndiyo kwaaaanza namwita mtu wa jikoni alete mdudu kilo mbili na limao za kucheba.
Wewe ni bosi ofisini tuu.... Huku mtaani na sisi ni ma Alwattan vilevile a.k.a SENIOR KONTAWA OF THE STREAT.
Stay Tuned Boss..... Unapopita napaona....
Wewe jamaa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, sidhani kama ni kweli unafanya kazi au ni visa vya kutunga.Shida hata wakimpelekea stori zozote juu yangu ikiwa ni nje ya kazi je inaathiri chochote kwenye kazi yangu? Maana hata nikiwa nao hao wadau tunaongea mambo yetu tu na mitikasi zingine za kimaisha baas.
Vv 😇Vipi baada ya Co worker wako kushushwa cheo uliendelea nae?
Unataka asemee ukweli??m napitatuVipi baada ya Co worker wako kushushwa cheo uliendelea nae?
Maana unajua Tena jinsi alivyopania kuandika halafu ukute ni jamaa sura ngumu ..atakuwa amefeli pakubwa😀😀Kwakua ameandika neno ''Mxiuuuh?"
😀 😀