Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Ushauri mzuri sana huu, nataman nimtag akusome...!
 
Pamoja na yote mwanamke kaumbwa na roho ndogo sana so ilitakiwa huyu bwana amsaidie namna ya kutunza watoto sasa anakimbia na hawezi kutoa fedha popote bila sign yake kwenye biashara zao sasa huyo mwanaume amkomoa mkewe au watoto? Hapo ndipo usemi wa RIA MMBE unaposhika kasi kwa wachagga
 
Halafu huyo ndo anajiita mtetezi wa wanawakwe
Mungu nusuru aina ya wanawake hawa [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Najaribu kutafakari aina ya wanawake tunaoishi nao sasa ni shida!Kilewo huyo si mkeo kwasasa!Mwanamke mwenye hekima hawezi ongea mambo ya chumbani hadharani hayo wanayafanya akina Giggy na Tunda!
Si ajabu siku kadhaa zijazo tukamwona yuko na Serengeti boy!
 
Bila kumumunya maneno, Huyo mwanamke hafai, tena hafai.

Sio hekima wala busara kwa mwanandoa kuja hadharani kuanika udhaifu wa mwenza wake au udhaifu wa ndoa yake. Ni sawa na golikipa kuamua kujifunga kisa anataka kumkomoa kocha wake.

Hakuna ndoa isiyopitia changamoto nzito nzito za kimaisha, ndoa iliyofanikiwa ni ndoa iliyoweza kutatua changamoto zake za ndani. Katika hili Joyce Kiria anapaswa kupambana kimya kimya ndani ya ndoa yake na akiona hayawezekani, basi anakaa zake kimya au anaachana na mwenzake kimya kimya tena kwa hekima.

Hivi nini kitatokea ikitokea kwa madai hayo kama ni kweli halafu Kileo amuendee mkewe na kumwomba msahama na kuamua kujirekebisha. Joyce Kiria ataweza kuyafuta hayo maneno kwenye jamii? Ujasiri wa mumewe(kama mwanaume) utatokea wapi tena?

Hichi kilichoandikwa hapa ni shutuma za upande mmoja tu, sio sahihi kuamini kila kitu mpaka kwanza tusikie na upande wa pili.

Ukichunguza vizuri, malalamiko yote msingi ni pesa tu. Joyce Kiria anasema alikuwa anamvumilia Kileo wakati Kileo akiwa hana pesa, ila hayuko tayari kuendelea kumvumilia Kileo wakati kwa sasa Kileo inaonekana ana pesa kisiri!!!
 
Ushauri mzuri sana, natamani uendelee kutiririka ili wengine wajifunze
 
Mtazima fegi zenu pale watakapoyamaliza na kuanza kupost picha ig za mahaba niue!!
 
Hana usuperwoman wowote wa kumfuga mwanaume.
Dem alijua siku zote ni mteremko jamaa atakua nazo. Kibao kilipogeuka kamanda alipokosa ubunge
kwa hiyo kama amekosa ubunge ndio amtegemee mkewe mpaka ela ya kununua boxer apewe na mke?.....huyu kilewo anapenda kulelewa sana
 
Mkuu mbona hawa sio wamachame?I mean Kilewo ni mpare na Kiria ni mkibosho au unataka kutuambia pia ni wahaya wote wanata
 
Ila jamani nimemponda sana huyu mwanadada post zangu za nyuma. Ila Ukiangalia maisha ya sasa wanaume wengi wamekua team kitonga. Alafu mbaya zaidi hawajui kujiongeza. Hapa kamanda alifeli kumuoa mwanamke aliyeachika kwa kuomba taraka kwa mwanaume wake wa kwanza. Ila swali linakuja kwa nn kamanda anapenda kitonga aka Ilula.
 
Kuoa Mwanamke wa Kichagga ni sawasawa na Kulikaribisha Kundi zima la Al Qaeda au Al Shabaab au ISIS nyumbani Kwako. Ngoja tu nibaki na hawa hawa Mademu zangu wa Kingoni, Kisukuma na Kinyiramba ambao hawana roho mbaya zilizotukuka na Unafiki wa Kiwango cha Kimataifa kama Mwanadada Joyce Kiria.
 
Mdogomdogo mpaka ataanika ya kaLemutuz [emoji23]
Wanawake tunawapenda sana na kuwaheshimu ni Mama zetu, ila omba sana usikutane na aliyefyatuka!
 

Nawaza tu alipomfuma Kilewo akidraw pesa Joyce alivyoangalia...

Pesa pesa mi nishaizila,siitaki kuiona.
 
Tatizo Joyce anakosea..awaite shilawadu..ajilize kama wastara..kesho mkulu bilanga lazima amtumie mnikulu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…