Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

Eti "sitaki mambo ya komaa kamanda"

Duh kweli mwenyezi humpa amtakae tatizo ni vijisent vya biashara ambayo hata haijafikisha mtaji wa million mia,
Je? Mngepata ubunge ingekuwajee!!!!
Chagaaaaaaz on the line of money
 
Hee makubwa hawawakatazi na kuoa malaya i mean wahayazo
 
Hapo wamekutana aisee

Mke tatizo mume shida
HV unakimbiaje hujui watoto wako watakula nn??

Man went mnatuaibisha aisee,sasa Huyo kakutana shida mwenzie bila haya kaanika kila kitu public
 
Huyu mwanamama anashida kubwa maelezo yoooote ni kutaka kusema anapesa na alikua analisha familia.

Cha ajabu analialia tena kama kweli no brwad winner mbona siku chache hivyo kayumba?

Hivi ni kweli ana account moja tu?

Hivi kuna kusema huku hadharani ndio pesa zitatoka bank. Kuna shoda ya kisaikolojia zaidi inamsumbua na kubwa anataka aonekane yeye ndiye kaacha sio kuachwa
 
Hivi siku instagram ikifungwa mtabandika hizo shida zenu kwenye billboard?? @
 
Hivi ni kweli Joyce ndiye aliyeandika na kupost? Mh, iwapo ni kweli, basi, nimeamini siyo wote wasemao Bwana, Bwana....! Unajua mtu lazima uyaishi maneno yako. Hata hivyo msisahau Joyce na Kilewo, si mumeamua kuachana? Basi, hakuna yeyote kati yenu anayeruhusiwa kuoa au kuolewa tena na mtu mwingine. Ukikiuka, unazini na Jehanamu inakusubiri. Nawashauri wanangu wazuri, RUDIANENI. kamwe msimpatie ibilisi nafasi. Kutofautiana kupo ktk maisha ya ndoa cha muhimu ni UPENDO ndiyo muarobaini. Mbona Joyce unawafundishaga wenzio hivyo. Imekuwaje?!
 
Kumbe na mimi ni mwanamke mwerevu aisee, kapigwa Mara moja kahororoja hivyo kwenye kadamnasi

Tunasemwa sisi ni wadhaifu lkn wanaume ni wadhaifu zaidi na kumtunzia madhaifu yake ni mwanzo wa kujenga familia imara sasa huyu super woman ni msengerema na anatia kichefuchefu katuaibisha ke wengi tulioolewa mashauzi mpk kwa mume!!!!!! Maajabu

50 kwa 50 imetuharibia ndoa za kizazi kipya wadogo zako wanaokutizama kila siku na mahousegirl wako wajifunze nini kwenye familia zao huko??? Je tutakuwa na jamii ya watu wa aina gani??? Mwanaume hata awe na nukta na fukara lkn km hana tobo katikati ya miguu tukumbuke yeye anamuwakilisha mwenyezi Mungu kwasababu hata kuumbwa kwakw ilikuwa, na tumtengeneze mtu kwa mfano wetu, tizama mitume, wateule na manabii wote ni wanaume na mbaya kuliko umezaa madume km mimi, Mungu atakuaibisha na kukuonyesha kuwa pesa sio kila kitu ktk maisha kufikia hatua ya kumdhalilisha mumeo namna Hii

Umewaaibisha wanawake wenzio wa uchagani kumbe mnayosemwa nayo mnayo kweli
 
anajitahidi kubwabwaja ili apate huruma ya wananchi
 
Kuna attention anaitafuta, kuna uchochoro kauona.
 
Ajue kuwa watoto watakua na siku moja watasoma mama yao aliyokuwa akimsema baba yao. Shame to you. Watu wakiachika inakiuwa between the two au labda watu wa karibu siyo tangazo kwa dunia. JF inasomwa dunia nzima siyo bongo tu.
 
mwaaaaaa,,,, limenitoka tu maana ulivyotiririka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…