Hivi huyu mtu anayejiita Mfalme Zumaridi anatuchukuliaje?

Millard ayo nae vipi!??
 
Aturudishie kanumba wetu aje aifufue bongo muvi
 
shwaini na nusu hizi dini tukifanya mchezo ndizo zitatupeleka motoni
najutia kwa serikali ilimuweka ndani pale ndipo alipopata credit ona sasa waandishi wa habari kila uchao wanamfutatilia
NB ;Binadamu tunaangamia kwa kukosa maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…