Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mimi hayo mambo ya yeye kutaka kutoka hayanihusu naongelea upande wa Lada yangu kwamba yeye ni mgonjwaBaba Swalehe Zumaridi ni maisha ya shida na umaskini ndo vimemfanya awe Zumaridi leo.Ni katika kutafuta solutions katika kutoutaka umaskini ndo leo ni Zumaridi. She is very very Smart. Kudos to her.
"Necessity is the mother of invention"
Mtu anaionyesha kabisa Grandiose na Erotomanic wazi wazi Tena za kitwango cha juu niseme yuko Sawa Hapana
Kama unaona yeye kajitoa ufahamu hayo ni ya kwako na tukubaliane kutokukubaliana na ibakie hivyo