Hivi huyu ni Kiongozi au tapeli? Kwanini Mamlaka zinamlea kiasi hiki?

Unamzumzia nani huyo? Kiboko yake mnywa bapa? Poleni sana, anakubalika sana kwa wananchi wa kawaida Wilaya ya Hai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Anatesa jamani...kuna reply moja nilisoma akifika sehemu anakula na wapambe wake alafu anasepa wewe muhudumu ndo unakatwa mshahara wako
Kwao naona hizo ndo zao,babake aliwahi kuwa mkuu Wa wilaya pia,alitesa wananchi naskia wajamchomea nyumba.
 
Kum... hivi mpaka sasa yupo salama salimini huyo jambazi?
Anatakiwa alipwe sawa sawa na matendo yake kenge huyo
 
Ole sabaya ni jambazi, anastahili kipigwa kama mbwa coco mwizi
 
Huyu mama hata nchi ikimshinda sitamind,kuniondolea ubabe kwangu inatosha,uongoz wa magu ulaaniwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…