Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Hivi huyu pichani sio Ali Remtullah?

Mkuu hivi ni wanaume wangapi marijali hasa umewaona wamevaa vikuku?
Kuvaa kikuu sio tiketi au ishara ya moja kwa moja ya ushoga.

Anaweza kuvaa kikuku akawa shoga au asiwe shoga, na hata kama angekuwa shoga au asingekuwa shoga hiyo hainuhusu mimi wala yeyote.

So, what's the big deal here??

Are you hurt or something??
 
..uko na umama umama mwingi sana ndani yako,ila ujumbe unaoutetea na message tushaipata sasa usifiche fiche hivyo, tushakuekewa,ambao watakuwa interested watakufata DM
Wewe hata kuandika tu hauwezi halafu unajitia kunielewa mimi ni nani.

Inawezekana hata kusoma hujui pia.

Kwahiyo, badala ya kutapika hapa, chukua penseli ufanye mazoezi ya Mwandiko huenda itakusaidia kuondokana na ujinga.
 
Huwezi kupanga nani ampende nani, na nani avae kipi.

Kama hiyo ndio tafsiri yako ya kukemea mabaya utakuwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia kuliko ujinga niliodhani unao.

Mimi sina uwezo wa kukemea au kumuelekeze nani ampende nani.

Sina nafasi ya kupanga jema na baya ni lipi. (Kwa mfano kuvaa kikuku)

I have my own standards for my own life, not others' .

Hivyo, yeye naye anazo standards zake ambazo hazipaswi kuingiliwa.
 
Huwezi kupanga nani ampenda nani, na nani avae kipi.

Kama hiyo ndio tafsiri yako ya kukemea mabaya utakuwa na matatizo makubwa ya kisaikolojia kuliko ujinga niliodhani unao.

Mimi sina uwezo wa kukemea au kumuelekeze nani ampende nani.

Sina nafasi ya kupanga jema na baya ni lipi. (Kwa mfano kuvaa kikuku)

I have my own standards for my own life, not others' .

Hivyo, yeye naye anazo standards zake ambazo hazipaswi kuingiliwa.
Acha kutetea ufirauni
 
Dada aliwekeza kwenye biashara na maoenzi kuwa kujua Kinabalu ana spring chiken anaitafuna dada aliumia sana. Yote maisha.
Hahahhhh spring chicken uwiiiii JF pazurijeeeee
Huyu mwenye nyeusi anafanana na dada mmoja hivi enzii zileeeeee alikuwa kibongeee akaja akapungua ghafla tena alipungua sanaaaa amerudi amekuwa na kilo zote hizi tena?? Kweli Mungu anajua kuumba
 
mwenzio anadvatise mavazi wewe ushawaza mambo mengine mwenzio anaingiza mifedha...hakuna kingine zaidi ya kutangaza mavazi ya wadada wa mjini
kama ni mifedha unayosema.... basi anaingiza kweli. atakuwa analala chumba kipi akienda kusalimia wazazi wake.....me/ke
 
Back
Top Bottom