Hivi huyu rafiki yangu anaweza kuwa mtu wa aina gani?

Kiasi fulani nina hii hulka, licha ya kwamba sisikilizi radio/muziki nyumbani, ni nikiwa katika shughuli nje tu.
 
Huyo kama mimi tu muziki mwingi, muvi kwa sana (series)

Yaani naweza kaa ndani hata mwezi mzima watu wakijua aipo.
 
Boss we ni mtu WA kusini,iringa,songea au mbeya?
 
Yaani uyo ni Mimi kabisa ,jamii Bado haijajua aina za watu aswa introvert,na hawajui hauwezi mbadilisha mtu kutoka introvert kuwa extrovert,
 
Kuna moment tu inatokeaga baadhi ya watu tunakua hivi.. Hapa ni kama unanizungumzia mimi wa kipindi flani hivi ila sikuizi najitahidi kujichanganya kiasi.
 
You're 100% right , mimi nipo Iringa hapa . Na huu ndyo umekuwa mfumo wangu wa maisha sijajua kama watu wote wa huku ndivyo tulivyo maana ukweli mimi siyo mtu wa kujichunguza chunguza nipoje , na ndyo maana nahisi muda wote huu nimeshindwa kujua kama watu wengi wa huku wapo kama nilivyo
Boss we ni mtu WA kusini,iringa,songea au mbeya?
 
Mkuu Kiranga. Neno Haki mnalitumia vibaya saana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kama Watanzania wengi huwezi kunielewa kwa sababu hata serikali yako inakupa haki ya kupigiwa kura uchaguliwe kuwa mbunge au rais kuongoza nchi, halafu inakuwekea vikwazo kwenye kuitumia haki hiyo kwa kukuambia huwezi kuitumia mpaka uwe mwanachama wa chama cha siasa.

Yani kuanzia kwenye serikali ushalelewa kutoelewa maana ya haki yako.

Siwezi kushangaa mimi nikikueleza habari za haki usiponielewa ukaona naitumia vibaya, tena unasema kimkato hata bila kueleza naitumia vibaya vipi nikuelewe.

Kwa sababu huna point ya kunielewesha naitumiaje haki vibaya.
 
Kuna moment tu inatokeaga baadhi ya watu tunakua hivi.. Hapa ni kama unanizungumzia mimi wa kipindi flani hivi ila sikuizi najitahidi kujichanganya kiasi.
Mkuu kama uliachana na mtindo huu wa maisha nikupongeze sanaa huu mfumo wa kujifungia ndani kwa sisis unga unga mwana hautufai , mtu kama unataka kuishi hivi ni bora akahakikisha kweli anajiweza nje na hapo ndyo hawa tunaowasikia kila siku wamejinyonga ..
 
Kwanza jua mziki hauna Lugha, uimbwe kwa lugha yeyote, akina Ntombi walikua wanaimba kizuru, Makiadi na wenzie kilingara ila nyimbo zao zilipendwa sana Tanzania.
Sawa lakin ushawahi kuwa karibu na watu wa namna hii ??... Ukweli siku jaribu ukae na mtu ana -play wimbo hauna mbele wa nyuma hata kwa dk 10 tu lazima kuna kijikero fulani kitakujia . Sasa hivi ndyo nijisikiavyo napokuwa karibu na huyu rafiki yangu .
 
Wabongo wengine wanapenda kulazimishana wote tuishi sawa.

Yani kama yeye anapenda kushinda bar, anataka na wewe lazima upende kushinda bar.

Ukiwa tofauti naye anakuona wewe si wa kawaida, anataka kukubadilisha uwe kama yeye.
Bongo na nchi nyingi sana za kimaskini zinazofanana na sisi huwa kuna pressure kubwa ya social conformity. Ukienda tofauti na matarajio au mfumo wa maisha uliozoeleka na jamii husika unaonekana ni kituko, tofauti kabisa na maeneo yaliyoendelea ambayo kila mtu yupo busy na shughuli zake.
 
Huyo rafiki yako mwambie au mshawiishi muende kwa wataalamu wa afya ya akili au wanasihi. Huko ndo atapewa tiba. Usidanganyike kuwa ni hali ya kawaida shida ipo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo linaua sana diversity na creativity na hatimaye kufanya watu wazidi kuwa masikini.

Hata bishara tunagezana sana, watu kuanzisha vitu vipya ni vigumu.

Hata serikalini, ukianzisha kitu kipya kinaweza kupibwa kwa sababu ni kipya tu, bila hata kujali faida zake.
 
Ni kweli mimi ni wa mziki mzee, ila siyo hizi nyimbo zenu ni zile akina Muhina Panduka, Fredy Mwalasha kurudi nyuma

Unakera Vijana wangu wanasikilizaga, ila ninachowaambia wapunguze sauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…