Hivi ile tabia ya vijana kupisha wazee siti kwenye vyombo vya usafiri huko kwenu bado ipo?

Hivi ulishawahi kuwepo?
Manake hakuna mzee nimewahi kumpisha...labda akae nikishuka
😁😁😁Kuna siku nlipanda gar pale mnazi Moja baada ya mwendo kidogo tu Kuna mzee kapanda konda kaniomba nimpishe nikazuga simsikii watu wakaanza kuniangalia nikapisha mzee akakaa kufika msimbazi center akawa anataka kushuka akawa anaminvite mdada flan akae yy anashuka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…