MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Acha dharau sawa, utauponzaHauna adabu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau sawa, utauponzaHauna adabu...
Nasisi hatuwapishi hadi tufe...🤨sipishi ng'o hadi watakapotupisha kwenye nafasi za uongozi
Kama ni mlemavu, mzee sana , mgonjwa hapo nitakupisha.Hata mimi hauwezi kunipisha mkuu...🤨
Ukiniona unipishe kwenye site mkuu..🤨Acha dharau sawa,utauponza
Wewe nani mkuu,una nini?Ukiniona unipishe kwenye site mkuu..
😁😁😁Kuna siku nlipanda gar pale mnazi Moja baada ya mwendo kidogo tu Kuna mzee kapanda konda kaniomba nimpishe nikazuga simsikii watu wakaanza kuniangalia nikapisha mzee akakaa kufika msimbazi center akawa anataka kushuka akawa anaminvite mdada flan akae yy anashuka!
Kwa muonekano wangu npo na wa yule mzee plus pressure ya watu ilibidi nisimame tu kiungwanaMie nisingesimama dadeq!
Kwani lazima?