Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.
Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.
Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.
Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.