Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Samia kuigiza na Peter kinawauma sana hasa mnapoona huyo jamaa kamshika mkono Samia?

Acheni upuuzi , mumewe Samia yupo kimya wala hajalalamika ama kuona wivu kwa mkewe kuigiza na huyo jamaa, na kama ingekuwepo shida baba wa watu angeshatangaza kuwa hana imani na mkewe.

Acheni ushamba wa bara.
Je umemsikia mumewe akiisifia hiyo royal tour? Je mara ngapi huambatana na mkewe safarini? haujiulizi?
 
Alicheza akiwa waziri mkuu?
sikumbuki vizuri.Nafikiri ilikuwa ni mcezo wa redioni miaka hiyo uliitwa Muogo mchungu.Mkuu usiumize kichwa haya yote yatapita.Huu ni mradi na kama ni mradi jua kuna watu wamekula commision zao.Tutakuja kuambiwa baada ya kutoka madarakani, si unajua nchi yetu ilivyo? hawa hawa mawaziri na wabunge wanaosifia ndio watakuja kutupa tasmini, umesahau ya miradi ya jpm walivyo kuwa wakiipa chapuo? leo si ndo hao hao wanasema tulibugi?
 
Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!

Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?
Rais kadhalilishwa wapi jamani? Nimeangalia ile Documentary sijaona mahali popote ambapo Rais amedhalilishwa.
 
Kama imekuudhi jinyonge sasa kwa sababu watu wanajaribu kukuelewesha unazidi kukomaa na ulalamishi wako. Basi usingeleta hii thread humu kama msimamo wako ni huo.
Nimejisikia vibaya na kuona nchi nzima tumedhalilishwa.
 
Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!

Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?
Badala ya kupiga tontorilo za upepo wa hewa ya joto, watu wenye akili wananunua sasa hivi camping vehicle, tents, kurekebisha Guest houses zao na kungojea hao watalii ambao wameanza kuja.

Ninyi mnalilia heshima ambayo haipo kwenu, kama mnyasa aliyefunga tai huku mgongoni shati imetatuka!
Kuchagua umasikini ni uamuzi wako.
 
Back
Top Bottom