Kizazi Cha nyoka ni chama tawala Kwa sasa,ukisimamia HAKI unanyamazishwa.Ninyi kizazi cha nyoka, lini mtaweza kuziona fursa mnazotayarishiwa?
Ebu tuambie mfanyabiashara Gani Nchi hii anaweza kufadhili royal tour akatoka bil 7 na asipate manufaa yoyote 🤭🤭🤭