Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Ninyi kizazi cha nyoka, lini mtaweza kuziona fursa mnazotayarishiwa?
Kizazi Cha nyoka ni chama tawala Kwa sasa,ukisimamia HAKI unanyamazishwa.

Ebu tuambie mfanyabiashara Gani Nchi hii anaweza kufadhili royal tour akatoka bil 7 na asipate manufaa yoyote 🤭🤭🤭
 
Kizazi Cha nyoka ni chama tawala Kwa sasa,ukisimamia HAKI unanyamazishwa.

Ebu tuambie mfanyabiashara Gani Nchi hii anaweza kufadhili royal tour akatoka bil 7 na asipate manufaa yoyote 🤭🤭🤭
Jifadhili mwenyewe Royal Tour yako upate mradi wako.
 
Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.

Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.

Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
Inakuwa hivyo hivyo ulivyoona.
 
What's your take kuhusu Nyerere kujichanganya na kucheza bao na 'majobless'? Au utaitafutia excuse kwa kuwa target yako ni Samia?
Au kulima shambani kwa jembe la mkono!.
Huyu Rais alistahili kabisa kuwa wa Rais wa kwanza Tanzania kwa sababu aliset stndard za ubinadamu ambazo mtu ambaye ni Rais wa Tanzania anatakiwa kuwa nazo.
 
Je umemsikia mumewe akiisifia hiyo royal tour? Je mara ngapi huambatana na mkewe safarini? haujiulizi?
Samia toka akiwa Waziri mume wake alikuwa hafahamiki kwa wengi. Kawa Makamu wa Rais kwa 5+ years hatukuwahi kumuona mume wake. Alivyokuwa Rais ndiyo tumemuona siku SSH anaapishwa. Kwa hiyo msianze kuleta maneno yenu hapa
 
Nimejisikia vibaya na kuona nchi nzima tumedhalilishwa.
Huo ni muono wako, perception. Mimi SSH kushikwa mkono na mwanaume awe mzungu, mwafrika au kutoka popote pale wakati anatengeneza Documentary naona ni jambo la kawaida kabisa. Wewe na wenzio mnaolaani mna mawazo negative. Kwanza mnawaza vibaya mwanamke kushikwa mkono na mwanaume asiye mume wake (labda mambo ya dini yamewaathiri) pili mnachukulia Rais kama siyo binadamu wa kawaida. Mnamuona kama Mungu mtu!!! Akitokea mahali wote lazima msujudie!!! Hapana haiko hivyo.
 
Sina tatizo na kuutangaza utalii wetu, ni wazo jema. Ukakasi upo kwa raisi kuigiza.

Ingekuwa documentary ni sawa na ushiriki wake ungekuwa official lakini sio vile kwenye uigizaji.
We hujui Kiswahili au ni mbishi? Rais hakuigiza alishiriki kutengeneza real documentary kutangaza utalii wa nchi yetu
 
Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.

Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.

Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
Watanzania wanaongoza kwa kujipa stress zisizo za lazima!
 
Nchi inaongozwa na Mapaka👇😁😁😁
AEb8rs.jpeg
16525976734300.jpg
ummY_jc.jpg
 
Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.

Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.

Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
.......
In Israel, it looked like Greenberg was taking a boat ride down the River Jordan with just then-prime minister Benjamin Netanyahu and his family until another view shows them surrounded by other boats stuffed with aides, a security detail, and the press.

1654090281743.png

Then-prime minister Benjamin Netanyahu and CBS producer Peter Greenberg embark on a televised whistle-stop ‘Royal Tour’ of Israel. (Avi Ohayon/Government Press Office)
 
Back
Top Bottom