Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Hivi ilikuwaje Rais wa nchi akaenda kuigiza akiwa bado madarakani?

Samia kuigiza na Peter kinawauma sana hasa mnapoona huyo jamaa kamshika mkono Samia?

Acheni upuuzi , mumewe Samia yupo kimya wala hajalalamika ama kuona wivu kwa mkewe kuigiza na huyo jamaa, na kama ingekuwepo shida baba wa watu angeshatangaza kuwa hana imani na mkewe.

Acheni ushamba wa bara.
Atangaze abinywe naniliu..😂
 
Samia kuigiza na Peter kinawauma sana hasa mnapoona huyo jamaa kamshika mkono Samia?

Acheni upuuzi , mumewe Samia yupo kimya wala hajalalamika ama kuona wivu kwa mkewe kuigiza na huyo jamaa, na kama ingekuwepo shida baba wa watu angeshatangaza kuwa hana imani na mkewe.

Acheni ushamba wa bara.
Kwamba wazanzibari ndio wameridhia yale maigizo?
 
Ni ushamba kweli kwa sababu umezoweya kuta waliwa na wa shamba, huyu rais wa utendawazi hakuact kibiashara binafsi ameact kutangaza fursa za uwekezaji wewe ulizoweya kumuona magufuli akiact mabararani na kugawa mapesa ovyo akigeuza wananchi omba omba
Raisi wa nchi gani umeona anaigiza movie?
 
Foleni ya kununua sukari kapanga sana, sema hujui tu...
Alikuwa hana wasaidizi Ikulu mpaka Rais atoke akapange foleni kununua sukari!!!??? Naelewa sana alikuwa ni mtu wa kujichanganya na watu sana. Na alipanga foleni na wananchi wengine kwenye baadhi ya shughuli kama kwenye kupiga kura. Alikuwa hapewi attention maalum kama wanavyofanya sasa ila hilo la sukari ngumu kumeza
 
Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.

Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.

Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.

Ninyi kizazi cha nyoka, lini mtaweza kuziona fursa mnazotayarishiwa?
Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!

Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?
 
Paul Kagame alisha act royal tour,aliyekua PM wa Israel Benjamin Netanyahu alisha act royal tour,
Au ulikua hujui hayo?

Vijana siku hizi mnajifanya kua ni wataalamu wa kila kitu na kulaumu kila kitu hata kama kitu chenyewe huna uelewa nacho,
Unakosa kazi ya kufanya unakimbilia JF kuanzisha thd ya nanma hii!
 
Paul Kagame alisha act royal tour,aliyekua PM wa Israel Benjamin Netanyahu alisha act royal tour,
Au ulikua hujui hayo?

Vijana siku hizi mnajifanya kua ni wataalamu wa kila kitu na kulaumu kila kitu hata kama kitu chenyewe huna uelewa nacho,
Unakosa kazi ya kufanya unakimbilia JF kuanzisha thd ya nanma hii!
Documentary sio sawa na matukio ya raisi wetu kwenye movie yake.
 
Paul Kagame alisha act royal tour,aliyekua PM wa Israel Benjamin Netanyahu alisha act royal tour,
Au ulikua hujui hayo?

Vijana siku hizi mnajifanya kua ni wataalamu wa kila kitu na kulaumu kila kitu hata kama kitu chenyewe huna uelewa nacho,
Unakosa kazi ya kufanya unakimbilia JF kuanzisha thd ya nanma hii!
Alijiimbia Malika 'wape wape vidonge vyao, wakimeza wakitema shauri yao'
 
Alikuwa hana wasaidizi Ikulu mpaka Rais atoke akapange foleni kununua sukari!!!??? Naelewa sana alikuwa ni mtu wa kujichanganya na watu sana. Na alipanga foleni na wananchi wengine kwenye baadhi ya shughuli kama kwenye kupiga kura. Alikuwa hapewi attention maalum kama wanavyofanya sasa ila hilo la sukari ngumu kumeza
Alikuwa anapanga aweze kuhisi adha wanayopata wananchi kipindi hicho cha maduka ya RTC nafikiri, sema alikuwa anaji camouflage kwa hiyo watu walikuwa hawagundui....
 
Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!

Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?
Inashangaza sana watu wanashabikia udhalilishaji aliofanyiwa raisi wetu.
 
Back
Top Bottom