Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Kama imekuudhi jinyonge sasa kwa sababu watu wanajaribu kukuelewesha unazidi kukomaa na ulalamishi wako. Basi usingeleta hii thread humu kama msimamo wako ni huo.Raisi wa nchi gani umeona anaigiza movie?
Je umemsikia mumewe akiisifia hiyo royal tour? Je mara ngapi huambatana na mkewe safarini? haujiulizi?Samia kuigiza na Peter kinawauma sana hasa mnapoona huyo jamaa kamshika mkono Samia?
Acheni upuuzi , mumewe Samia yupo kimya wala hajalalamika ama kuona wivu kwa mkewe kuigiza na huyo jamaa, na kama ingekuwepo shida baba wa watu angeshatangaza kuwa hana imani na mkewe.
Acheni ushamba wa bara.
sikumbuki vizuri.Nafikiri ilikuwa ni mcezo wa redioni miaka hiyo uliitwa Muogo mchungu.Mkuu usiumize kichwa haya yote yatapita.Huu ni mradi na kama ni mradi jua kuna watu wamekula commision zao.Tutakuja kuambiwa baada ya kutoka madarakani, si unajua nchi yetu ilivyo? hawa hawa mawaziri na wabunge wanaosifia ndio watakuja kutupa tasmini, umesahau ya miradi ya jpm walivyo kuwa wakiipa chapuo? leo si ndo hao hao wanasema tulibugi?Alicheza akiwa waziri mkuu?
Unaonekana ulimsumbua sana mwalimu wako darasani kukufahamisha,una akili nzito sana ya uelewa.Documentary sio sawa na matukio ya raisi wetu kwenye movie yake.
Rais kadhalilishwa wapi jamani? Nimeangalia ile Documentary sijaona mahali popote ambapo Rais amedhalilishwa.Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!
Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?
Nimejisikia vibaya na kuona nchi nzima tumedhalilishwa.Kama imekuudhi jinyonge sasa kwa sababu watu wanajaribu kukuelewesha unazidi kukomaa na ulalamishi wako. Basi usingeleta hii thread humu kama msimamo wako ni huo.
Yale matukio yalifanyiwa rehearsal kabla ya kurekodi?Unaonekana ulimsumbua sana mwalimu wako darasani kukufahamisha,una akili nzito sana ya uelewa.
If that's so okAlikuwa anapanga aweze kuhisi adha wanayopata wananchi kipindi hicho cha maduka ya RTC nafikiri, sema alikuwa anaji camouflage kwa hiyo watu walikuwa hawagundui....
Muache baba wa watu, ana imani na mkewe ndio maana katulia wa halalamiki kuachwa home na bi mkubwa.Je umemsikia mumewe akiisifia hiyo royal tour? Je mara ngapi huambatana na mkewe safarini? haujiulizi?
hakuwa rais?Kagame aliigiza au alishiriki kwenye documentary?
Nikipata mwaliko nitakwendaNenda kayaseme haya ukiwa kule halafu utuletee mrejesho.
Mbona unajichanganya sana! post yako inalaumu Rais kuact movie/DocumentaryYale matukio yalifanyiwa rehearsal kabla ya kurekodi?
Documentary haifanyiwi rehearsal ikiwa wahusika ni halisia na sio wale wa kihistoria. Yakwetu Iko scripted hivyo ni muvi.hakuwa rais?
Unafahamu tofauti ya movie na documentary?Mbona umnajichanganya sana! post yako inalaumu Rais kuact movie/Documentary
Sasa hivi unahoji vitu vingine kabisa! kubali kua ulikurupuka.
Huna hoja ila najua umeshajua kua ulikurupuka,Unafahamu tofauti ya movie na documentary?
Ile ya Samia ni scripted hivyo ni movie na sio documentary.Huna hoja ila najua umeshajua kua ulikurupuka,
Kajipange upya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mie nnayo, afu wanaelekea porini.Maigizo kibao mule, kuna sehemu anasema hey peter then mastori yanaendelea.
Behaviourist unaweza kutuwekea Ile clip ya hey peter?
Mkuu naomba uiweke hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata mie nnayo, afu wanaelekea porini.
Badala ya kupiga tontorilo za upepo wa hewa ya joto, watu wenye akili wananunua sasa hivi camping vehicle, tents, kurekebisha Guest houses zao na kungojea hao watalii ambao wameanza kuja.Kudhalilishwa rais wetu ni fursa!! Tafadhali!! Hiyo pesa inayopatikana kwa kumdhalilisha rais wetu ni pesa chafu!! Heshima ni bora kuliko pesa!! Rais ni nembo ya nchi, watu wamekereka mpaka basi!!
Simlaumu rais binafsi lakini ninalaumu sana Rais kama taasisi!! Hii taasisi ina wasaidizi lukuki, kwa nini hawa wasaidizi hawakuliona hili? Ina maana hawa wasaidizi hawakuwahi kuiona hii filamu hadi ilipozinduliwa?? kama waliiona ina maana walilidhia huo udhalilishaji? Hata rais wetu wa awamu ya tano amepigwa kijembe na hilo li-Peter na wao hadi leo kimyaa!!
Ninachofahamu, kabla ya kurekodi filamu huwa kuna mazoezi/rehersal! Ina maana mazoezi ya jinsi watakavyoshikana mikono yalifanyika?