Kizazi Cha nyoka ni chama tawala Kwa sasa,ukisimamia HAKI unanyamazishwa.Ninyi kizazi cha nyoka, lini mtaweza kuziona fursa mnazotayarishiwa?
Jifadhili mwenyewe Royal Tour yako upate mradi wako.Kizazi Cha nyoka ni chama tawala Kwa sasa,ukisimamia HAKI unanyamazishwa.
Ebu tuambie mfanyabiashara Gani Nchi hii anaweza kufadhili royal tour akatoka bil 7 na asipate manufaa yoyote 🤭🤭🤭
Inakuwa hivyo hivyo ulivyoona.Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.
Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.
Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
Au kulima shambani kwa jembe la mkono!.What's your take kuhusu Nyerere kujichanganya na kucheza bao na 'majobless'? Au utaitafutia excuse kwa kuwa target yako ni Samia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haiwekeki tatizo.Mkuu naomba uiweke hapa.
Samia toka akiwa Waziri mume wake alikuwa hafahamiki kwa wengi. Kawa Makamu wa Rais kwa 5+ years hatukuwahi kumuona mume wake. Alivyokuwa Rais ndiyo tumemuona siku SSH anaapishwa. Kwa hiyo msianze kuleta maneno yenu hapaJe umemsikia mumewe akiisifia hiyo royal tour? Je mara ngapi huambatana na mkewe safarini? haujiulizi?
Huo ni muono wako, perception. Mimi SSH kushikwa mkono na mwanaume awe mzungu, mwafrika au kutoka popote pale wakati anatengeneza Documentary naona ni jambo la kawaida kabisa. Wewe na wenzio mnaolaani mna mawazo negative. Kwanza mnawaza vibaya mwanamke kushikwa mkono na mwanaume asiye mume wake (labda mambo ya dini yamewaathiri) pili mnachukulia Rais kama siyo binadamu wa kawaida. Mnamuona kama Mungu mtu!!! Akitokea mahali wote lazima msujudie!!! Hapana haiko hivyo.Nimejisikia vibaya na kuona nchi nzima tumedhalilishwa.
We hujui Kiswahili au ni mbishi? Rais hakuigiza alishiriki kutengeneza real documentary kutangaza utalii wa nchi yetuSina tatizo na kuutangaza utalii wetu, ni wazo jema. Ukakasi upo kwa raisi kuigiza.
Ingekuwa documentary ni sawa na ushiriki wake ungekuwa official lakini sio vile kwenye uigizaji.
Nimeiona hiyo sehemu hakuna chochote cha ajabu!!!Mkuu naomba uiweke hapa.
There is nothing strange kwenye hiyo clip jamani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haiwekeki tatizo.
Watanzania wanaongoza kwa kujipa stress zisizo za lazima!Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.
Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.
Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.
MaybeWatanzania wanaongoza kwa kujipa stress zisizo za lazima!
😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haiwekeki tatizo.
Aisee, huu ndio u-gt?We hujui Kiswahili au ni mbishi? Rais hakuigiza alishiriki kutengeneza real documentary kutangaza utalii wa nchi yetu
Wasiwasi wangu ni kubanduliwa Rais🚶🚶🚶Maigizo kibao mule, kuna sehemu anasema hey peter then mastori yanaendelea.
Behaviourist unaweza kutuwekea Ile clip ya hey peter?
.......Hiki kitu bado kinanipa ukakasi sana. Nimeona post muda huu linkedin ya yule Peter kamshika mkono Rais nikakereka sana. Japo ni post ya mwezi uliopita ila imeniumiza.
Pengine ni ushamba wangu lakini dah, kila nikiangalia naona kama Rais wetu ameonekana wa kawaida sana. Ni kama vile urais ni kazi cheap kabisa. Nafasi ya urais imedhalilika sana.
Movie ingeweza kutengenezwa kwa kutafuta mtu anayefahamika duniani kwenye hiyo tasnia.