Hivi inakuaje mtu kufanya hivi?

Jifunze kutofautisha L na R mkuu!
 
Umepot

Umepoteza muda mrefu Sana to prove all those Kwa hiyo jamaa, Bora ungemaintain unknown status yako than did all that...

Hope I don't bother 😊
For sure hakukuwa na njia nyingine sahihi kumwonyesha who is me kiundani

asinge nielewa lakini kwa hii njia atanielewa vizuri kuanzia kesho
 
Huyo mlevi pombe ikiisha atakuwa sawa, ni afadhali yake ila wewe ulevi wako ni EGO ni ulevi mbaya sana. Usirudie tena upuuzi huo.
 
Umenikumbusha Ile verse ya soggy jamaa anaomba omba bia kwa washkaji akapewa bia 100 πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo mlevi pombe ikiisha atakuwa sawa, ni afadhali yake ila wewe ulevi wako ni EGO ni ulevi mbaya sana. Usirudie tena upuuzi huo.
πŸ˜†πŸ˜† Sawa ni hasira mkuu na sikuwa nanjia nyingine kinyume na hapo ningejikuta police station huenda yange kuwa mengine

Shukrani kwa ushauri wako mkuu
 
Kulewa mbele ya adui yako waaahaa

Ulitaka alewe ukamnyweshe visungura wengine,kinyeoni mwake ausiyo
 
Sikufichi, kosa kubwa sana umefanya Mkuu. Ingekuwa mimi wewe nisingeongea jambo ningetoka niende kuchukua bakora au waya nikirudi ni za mgongo tu sipigi kwingine ni mgongo tu hadi ajikojolee uyo fala.

Usikubali mtu akukosee adabu kwa hali yoyote ile. Kuna siku nipo mahali mzee mmoja wa kama 60yrs hivi alitaka kuvuka mipaka aisee niliruka naye one way hakuamini kabisa. Uzuri watu walikuwa wanamshangaa alafu wanasikilizia ntafanyaje, mwisho wa siku kila mtu akaanza mletea shida yule mzee.

Ni vile tu siwezi kupigana kwenye umma ila kweli ukinikosea adabu lazima nikupige tu, hakuna namna ntakuacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…