Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeria sanaBadara Urie wewe unacheka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeria sanaBadara Urie wewe unacheka[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Mpuuzi Sasa r&l zinakisaidia Nini kwenye maisha?Sina kitengo njaa kari naomba hera nire chakura
Kabisa.Wapumbavu mmekutana
Aisee kweli watu mna masimango. Nimecheka kweli kweliUlivyoitwa Big nilihisi tu mbeleni kuna kitu utafanya cha ki big big na umefanya kweli Big man
Akili za mabig bonge huzijui mkuu?😂😂😂😂😂Aisee kweli watu mna masimango. Nimecheka kweli kweli
Halafu mnasema Tanzania kuna upungufu wa waandishi wa comedy movies!Kweri urikua na siku mbaya.Japo sijasoma Hadi mwisho.Kwa hiyo uritoa Hera au hukutoa.
Vr glass kwa 4g ya internet hata hizo r unaweza sema usaidiwe kutaja, ila tunaelekea 5R watataja hadi umri wao.Tangu muambiwe kuna 4R kila kitu basi ni r tu kweri, hera, nakubari.
Sawa mkuu na karibu tutaftane miezi ya mavuno Yani kuanzia mwezi wa sitaKaka unaonaje nikaja kuongeza nguvu hapo ofisini kwenu muda naokuwa huru kiratiba.
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Na kuna Ile Simba akiongoza msafara wa mbuzi hata mbuzi Huwa wa jasiri kama Simba unaijua mkuu?Uyo dogo siku nyingne atakudhalilisha tena,
Kanuni : If you act like a pig, you'll be treated like a pig
Mnafanya export pia? Au ni humu humu TzMazao boss Kama mahindi,soya,karanga,ulezi,nk karibu mkuu
X port Sana Kama Kenya,Congo,south sudani,malawi,na Rwanda mkuu masoko yetu ya ndani ni dar na ,mwanza kidogoMnafanya export pia? Au ni humu humu Tz
Shukrani! Kwa ofisi zenu zipo Dsm au mkoani?X port Sana Kama Kenya,Congo,south sudani,malawi,na Rwanda mkuu masoko yetu ya ndani ni dar na ,mwanza kidogo
Lakini kwa mwaka huu Zambia Kuna njaa sababu ya mvua kusumbua so tuna tegemea mahindi kutoka Tanga,mbeya,sumba wanga na songwe, kuelekea Zambia
Japo hatuja jua wakenya watakuja na Bei gani lakini Nafikiri Bei za Zambia zitakuwa kubwa zaidi kuliko Kenya na kwingineko
Lakini kwa upande wa mazao ya soya na ulezi yata endelea kupelekwa Rwanda na Moshi Kama kawaida mkuu
Shukrani! Kwa ofisi zenu zipo Dsm au mkoani?
Ofisi zetu ni hapa tulipo mkuu una ongea mzigo unao utaka unafika hapa unauona ukiukubari una pimiwa una ulipia inakuwa imeishaShukrani! Kwa ofisi zenu zipo Dsm au mkoani?
Inatosha usirie tena[emoji23][emoji23][emoji23]Nimeria sana
Kitengo chako ni ukibega auOfisi zetu ni hapa tulipo mkuu una ongea mzigo unao utaka unafika hapa unauona ukiukubari una pimiwa una ulipia inakuwa imeisha View attachment 2980580View attachment 2980581View attachment 2980582View attachment 2980583
View attachment 2980584
View attachment 2980592View attachment 2980593View attachment 2980595
Hakika mzee mwe nzanguhuu muandiko wa mzee wa urisi kabisa huu