Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahha chizi weweWewe ulidhani tu simba?! Mimi nilidhani Qengay
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabongo mnaulizana maswali ya kukoseshana kazi tuu kisa roho mbaya...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Japo siamini, ila hii itoshe tu kuonesha kuwa mtaani hali mbaya.
Hao graduates hawana kitu mfukoni ulitaka waijue picha ya 'afukumi' waliishika lini?
Mkuu Mh. Magufuli alikutelekeza na mtoto akasusa kutoa na matumizi maana sio kwa nyundo unazompiga kila siku humu jukwaani 😂Hata mgombea urais mmoja hakufahamu Sadam Hussein alikua rais wa nchi gani
Wewe hangaika na hako kababu kako hapo UK kasije kakakufia bure.Ni Rais wangu
Mi nilidhani nyumbuKwani elfu kumi ina mnyama gani?!!!
Mpaka hapo kazi ushakosaSiwezi kusoma miaka yote hiyo halafu watu waje waniulize swali la kitoto hivyo, wakawaulize watoto au waliozitengeneza mimi nafahamu uchungu wa kuipata hiyo elfu 10 and that's fine maswali yao yakijinga hayan uhusiano wowote na nnachoju kichwani, Stupid.
Na wewe unaamini kabisa kwamba jamaa elfu 10 haijui? Tatizo mnakuwa mmeshaandaa watu wenuKwa hiyo finance Manager anayesimamia mikopo na marejesho hatakiwi kujua hata hela ya marejesho inafananaje?
Hii ni point 99.9% na ndio lengo laoNa wewe unaamini kabisa kwamba jamaa elfu 10 haijui? Tatizo mnakuwa mmeshaandaa watu wenu