Hivi inakuwaje mtu anajua kusoma Quran ila lugha ya kiarabu haijui?

Hivi inakuwaje mtu anajua kusoma Quran ila lugha ya kiarabu haijui?

Kipimo ni kidogo tu, dini ipi inayokua kwa kasi duniani leo hii?
Mpo tayari kupinga mpaka unabii wa pedophile

Soma
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
 
Mpo tayari kupinga mpaka unabii wa pedophile

Soma
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
Inayumnikanaje hawaelewi maagizo ya Allah na Mtume wake hao ?
Wanayumbishwa namna gani hao ?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ladha ya lugha ya Allah na mtume wake ni ya kitapeli tapeli hivi, piece be upon them.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mpo tayari kupinga mpaka unabii wa pedophile

Soma
Uislamu ulianza kama dini ndogo na utarudi kuwa dini ndogo
-Muhammad saying, “Islam began as a small religion and will return to the state in which it began. Then blessed will be the few Mishkat al-Masabih 159

Akaongeza Uislam utasinyaa na utarudi Madina kama vile nyoka anarudi kwenye shimo lake
-“Faith will shrink back to Medina as a snake shrinks back to its hole.” (Bukhari and Muslim.) Mishkat al-Masabih 160
Huyo Bibi ni wa mihemuko tu.
Maandiko ni sefuri.
hamiss77, anamtoaga knok out kila akichungulia dirishani
 
Kipimo ni kidogo tu, dini ipi inayokua kwa kasi duniani leo hii?
Ni Dini ipi ni Kubwa kuliko Zote duniani?

Toka mmeanza kukua kwa kasi mpaka leo you are still THE SECOND.

Miaka zaidi ya 1400 ya kukua toka dini imeanza bado tu mpo nafasi ya pili, pamoja na kuilinda dini yenu kwa sheria ngumu ili watu wasiihame(refer to All Islamic countries)
 
Naomba kueleweshwa

Ni ngumu kuna masuala kibao ndani ya ilm/elimu ya dini. Mfano historia ya imani fulani siyo mchezo kuelewa inatakuwa upite mikononi mwa walimu wa dini walioiva vizuri ktk elimu ya dini

Mfano mahojiano haya kuhusu ufahamu wetu wa sehemu kiduchu ya walio mbele imani

Source : Kishki online TV
 
Kuna waliojibu sahihi lakini naona kama wameeleza sana.
Jinsi ilivyo ni hivi, Kuna lugha ya kiarabu, ya kitaifa official,
Alafu kuna lugha ya kiarabu iliotumika katika dini ya kiislam, ambayo haitokuja badilika ata shetani akija duniani habadilishi.
Hivyo basi nchi yeyote ya kiarabu katika hii dunia, haiwezi kusoma Qur'an kama haijasoma lugha ya Qur'an,
Watanzania wengi hatuwez soma lugha ya gazeti la kiarabu sababu wengi wao tunasoma lugha ya dini, Qur'an, ambayo ndo muhim katika dini
Ni mashkh wachache ndo wana weza kwa sababu wao walienda kusoma nje ya nchi.
Mimi binafsi mswahili, hata ukiniletea muarabu kutoka wapi au profesa wa lugha ya kiarabu kama hajasoma lugha ya dini (iliotumika katika Qur'an) hanifikii hata hafanyaje hawez nifikia sababu hajasoma.
 
Back
Top Bottom