Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quran ni kiarabu cha zamani sn. Kama kiingereza cha biblia za KJV!So lugha iliyotumika kwenye kuandika Quran ni tofauti na kiarabu chenyewe?
andika kiswahili wewe wewe kiumbe mchochezi!In recent years, the term Modern Standard Arabic (MSA) has come about. MSA is almost identical to the classical, formal Arabic of the Qur’an, with the exception of the addition of modern words and some differences in grammar constructions. MSA is the most common form of Arabic and is the variety taught in schools and colleges and is most commonly used in the workplace, in government and in the media.
Over the centuries of its existence, the Arabic language has adopted words from other languages including Hebrew, Aramaic, Persian, Greek, English and French. It has also influenced other languages as well including Turkish, Bengali, Hindi, Indonesian and Tagalog.
Acha uongo labda mtu kama hajaenda shule.Ni rahisi wapo wanaojuwa kuongea kiswahili ila hawajui kusoma kitabu cha kiswahili
Apo umetupiga, Labda wasielewe nini kinazungumzia haswa ila kusoma kama kusoma wanaweza aseena wapo hao waarabu wanaokaa uarabuni wamezariwa uarabuni wanaojua kiarabu na kukisoma kiarabu pia na hata kukiandika
lakini hawawezi kusoma QURANI
JE UNAJUA HILO
Swali zuri, Aache kutuokotaJe wapo wasomi wasio na dini hapa Tz ambao hawajui kuisoma Biblia ya Kiswahili?
Huo ni ujuha huo unaoufikiria.Pale wana Deal na elimu Akhera jinsi utakavyo ishi kaburini mwako.
Ndo maana kuna tofauti kati ya Waarabu na waislam ml
Kwa Tanzania hii ni shule ipi haikaririshi kwa mboko? Au mwenzetu ulisomea mwezini?Wanakaririshwa kwa lazima huku wakila mboko..hapo hakuna kuelewa zaidi ya kukariri ili usilambwe bakora.
#MaendeleoHayanaChama
Wewe upo Tanzania na Kiswahili ni lugha yako ya taifa na hujuwi kukitamka wala kukiandika ipqsavyo.na wapo hao waarabu wanaokaa uarabuni wamezariwa uarabuni wanaojua kiarabu na kukisoma kiarabu pia na hata kukiandika
lakini hawawezi kusoma QURANI
JE UNAJUA HILO
Ungekuwa Libya na nchi nyingine za kiarabu, Waislamu wenzako wangekukamata, kukuuza kama mtumwa na kukufanya Malaya pamoja na Uislamu wako. Wee ni kama ngedere tu mbele ya Waarabu.Wewe upo Tanzania na Kiswahili ni lugha yako ya taifa na hujuwi kukitamka wala kukiandika ipqsavyo.
"Wamezariwa" ndio mdudu gani?