Hivi inakuwaje mtu anajua kusoma Quran ila lugha ya kiarabu haijui?

Hivi inakuwaje mtu anajua kusoma Quran ila lugha ya kiarabu haijui?

Mbona hushangai mtu anamaliza chuo kikuu kakariri kwa kizungu ila ukimwambia abadili kwa kiswahili page moja hawezi?
Halafu anajiita mtaalamu
Tatizo wengi wanakaririshwa bila kufundishwa maana ya maneno yote na hiyo sio sahihi

Kuelewa kiarabu na kuielewa quran ni mambo mawili tofauti
 
Hii sio topic iliyoko mezani. Ukiulizwa Mungu anakufaje na kufufuka utakua mi mjadala mwengine usioisha. Jikite kwenye mada husika
Mungu ni muweza ya yote anaweza kuamua kufa na kufufuka yeye Ndo aliumba kifo pia. Pia Mungu hakuna kinachomshinda hata kujibadilisha atakavyo bila kupangiwa.

KATIKA YESU LAZIMA TUAMINI NA KUABUDU

IN JESUS WE MUST TRUST AND WORSHIP

JESUS FIRST JESUS FOREVER

JESUS IS GOD
 
Mimi ni mtozi na mwanagenzi Philip Mwihava, endelea kurahani clouds fm.
 
Kiarabu kwa kukopa maneno hasa ya Inglishi, hakijawa haramu kweli? Hivi Qur'an inasemaje hapo?
Hata Quran imekopa maneno kibao kutoka lugha zingine ...Mtume alikuwa binadamu, alichangamana na watu wa mataifa mengine, hivyo alikopa misamiati Yao na mingine imeingia kwenye Quran.

Kuna maeno kwenye Quran mpaka Leo watu hawajui maana yake, sijui mtume aliyakopea lugha ipi
 
Modern Standard Arabic (MSA) is a modernized form of Classical Arabic, the language of prayer and recitation throughout the Islamic world. Standard Arabic is the language of literature and education in most Arabic countries. Educated people throughout North Africa and the Arabian Peninsula have good to excellent command of Standard Arabic besides their native Arabic dialect. It is estimated that some 165,000,000 people throughout the Islamic world have some knowledge of Standard Arabic. Standard Arabic is not acquired as a mother tongue, but rather it is learned as a second language at school and through exposure to formal broadcast programs (such as the daily news), religious practice, and print media. The media in which Standard Arabic is not as frequently used as the spoken Arabic dialects are in song, film, and the theater.

Western Arabic encompasses the Arabic spoken colloquially in the region of northern Africa—often referred to as the Maghrib—from Morocco to western Libya and in adjacent African countries to the immediate south. In the countries of the Maghrib, many speakers of Arabic have been schooled in French and are more likely to use French rather than Standard Arabic for reading and for written communication.
Mleta mada amezungumzia Quran na lugha ya kiarabu, wewe unatuletea habari za Biblia.

Inahusu?
 
Kwani wazungu wote wanajua kuongea kizungu mbona ni simple logic.
 
Hata Quran imekopa maneno kibao kutoka lugha zingine ...Mtume alikuwa binadamu, alichangamana na watu wa mataifa mengine, hivyo alikopa misamiati Yao na mingine imeingia kwenye Quran.

Kuna maeno kwenye Quran mpaka Leo watu hawajui maana yake, sijui mtume aliyakopea lugha ipi
Huh? Sasa itakuwaje because unaambiwa hiko msahafu ameshushiwa mtume direct kutoka peponi ☺☺☺
 
Nadhani Kuna sehem wafrika mind zetu zinatatizo tupo ongelea kuhusu Dini.

My take: Tuishi kwa kutenda wema.
Hilo ndo mimi huwa nazongatia zaidi

Kuishi pasipo kumkwaza au kumuumiza moja kwa moja binadamu mwenzangu

Lakin inshu za kupiga makelele na kupiga magoti na kufunga siku sjui ngapi bila kula huko kote ni kujitesa tu
 
Lugha ina siri nyingi, ni Tanzania tu ambapo magazeti hayatumii KiSwahili sanifu.

Gazeti la Taifa Leo la Kenya linaweza kutumiwa na mgeni anayejifunza lugha ya kiSwahili lakini magazeti pendwa ya Tanzania kiswahili chake ni cha "mtaa fulani mdogo'.

13 August 2022
SIRI YA KUSOMA, KUANDIKA NA KUZUNGUMZA
Kutana na Joramu Nkumbi, Msomi wa Hesabu na Masuala ya Biashara ambaye amejikita katika uzungumzaji wa #Kiswahili fasaha. Utapenda anavyocheza na lugha

JORAMU NKUMBI: Fundi wa KISWAHILI hujawahi kuona, MISAMIATI hii aliyoishusha imetuvunja mbavu hapa



Source: simulizinasauti
 
In recent years, the term Modern Standared Arabic (MSA) has come about. MSA is almost identical to the classical, formal Arabic of the Qur’an, with the exception of the addition of modern words and some differences in grammar constructions. MSA is the most common form of Arabic and is the variety taught in schools and colleges and is most commonly used in the workplace, in government and in the media.

Over the centuries of its existence, the Arabic language has adopted words from other languages including Hebrew, Aramaic, Persian, Greek, English and French. It has also influenced other languages as well including Turkish, Bengali, Hindi, Indonesian and Tagalog.
Ndio mtu ashinswe kusoma?
Sikuwa najua hii ishu
 
Maana yake nini hapa, kwamba kunyumechake ni kwamba wapo wanaojua kusoma kiswahili lakini hawajui kuongea?

Upo sahihi! Hata kiingereza wapo watu tena wengi hapa Tz wanajua kukisoma vizuri, lakini waambie fungeni vitabu muanze kuongea kizungu, wengi watakimbia haraka sana!
 
Kiarabu cha Qur'an ni Standard Arabic, ni tofauti na kiarabu cha kuongea.Ndio maana hata muarabu,aliyezaliwa arabuni ni mpaka afundishwe Qur'an,na anaweza kufundishwa na mtu ambaye,hajazaliwa nchi za kiarabu,na hana asili ya kiarabu,iwe tu huyo mtu,amejifunza Qur'an na kuhitimu mafunzo yake.

Na itoshe kusema si kila Mwarabu ni mwislam au si kila Mtanzania ni mkristu!
 
Si hilo tu, hata Waarabu wengi wanajuwa Kiarabu lakini lugha ya Kiarabu iliyotumika kwenye Qur'an hawaijui.
 
Lugha iwe Kiarabu, Kiingereza n.k wenye hizo lugha hawazichukulii kwa wepesi kama sisi tunavyodhani kwa kulinganisha tunavyochukulia KiSwahili :

Mfano 'mistari' hii ya gwiji la tamthilia na uandishi mwingereza Shakespeare

The 1609 Quarto sonnet 11 version​

AS faſt as thou ſhalt wane ſo faſt thou grow’ſt,
In one of thine,from that which thou departeſt,
And that freſh bloud which yongly thou beſtow’ſt,
Thou maiſt call thine,when thou from youth conuerteſt,
Herein liues wiſdome,beauty,and increaſe,
Without this follie,age,and could decay,
If all were minded ſo,the times ſhould ceaſe,
And threeſcore yeare would make the world away:
Let thoſe whom nature hath not made for ſtore,
Harſh,featureleſſe,and rude , barrenly perriſh,
Looke whom ſhe beſt indow’d,ſhe gaue the more;
Which bountious guift thou ſhouldſt in bounty cherriſh,
She caru’d thee for her ſeale,and ment therby,
Thou ſhouldſt print more,not let that coppy die


Read more : source : Sonnet 11: As Fast As Thou Shalt Wane, So Fast Thou Grow'st
 
Naomba kueleweshwa, binafsi huwa naona Quran ni maandishi ya kiarabu.

Sasa kuna maustadhi kama wanne hivi kwa nyakati tofauti nimewahi kuwapa gazeti lenye maandishi ya Kiarabu wanisomee na kunitafsiria ila cha ajabu wameshindwa.

Je, kuna tofauti ya lugha iliyotumika kuandika Quran na lugha ya Kiarabu cha kawaida?
Oooh. Wenzio hata kusoma hiyo Quran hawajui Ila wamekariri tu. Na Wala hawajui maana ya wanachosema.
Ninawajua wengi Sana.
 
na wapo hao waarabu wanaokaa uarabuni wamezariwa uarabuni wanaojua kiarabu na kukisoma kiarabu pia na hata kukiandika

lakini hawawezi kusoma QURANI

JE UNAJUA HILO
Hapo pagumu ebu fafanua. Yaani mswahili wa bongo aneyejua kusoma na kuandika ashindwe kusoma biblia ya kiswahili. Au . Mwingereza anayejua kusoma na kuandika kiinglishi asijue kusoma bible iliyoandikwa kwa kiingereza
 
Back
Top Bottom