Mkuu, kwa hiyo hapa unamaanisha kuwa hao mawaziri wanajiamulia wenyewe kiasi cha mishahara yao?! Samia anapowashutumu kuwa '.......lakini mbona mnakula sana......mtavimbiwa' anamaanisha wanakula sana mishahara yao?!
Uongo na unafiki ni tabia za shaitwani.....mkatae shaitwani.
Wengi hao wezi wala kwa urefu wa kamba zao Mungu alishawashughulikia sana tu hawali vyakula vyenye chumvi wala mafita wala sukari waba mimaradhi kibao hawa enjoy hizo pesa wabazoibia walalahoi wakati mlalahoi anakula chumvi,mafuta na sujari kibao na nyama choma kibao na haumwi
Yenyewe kutwa inahangaika dawa na mazoezi na kukwepa vitu vitamu kama nyama,chakula chenye mafuta ,sukari na vitabu kibao
Mungu kawadhibiti vibaka hao kuwa mtaiba mabilioni lakini hamtayafaidi afya zao lazima ziwe mgogoro
Tafuta fisadi lolote lisilo na maradhi makubwa liwe jike au dune utapata moja kati ya mia moja mengi miradhi kibao