Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara
Acha ujingaujinga itakusaidia maishani.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara
Ukiwa huna hela unasimangwa hadi na watoto wadogo kweli!
Sawa dogo masimango yako yametufikia wazee. Hongera kwa kuwa na hela.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Unatafutaje kitu ambacho hujakipoteza... pesa haitafutwi acha kuwadanganya wenzio.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Chief Godlove pesa zako za Manyoka😁
 
Back
Top Bottom