Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
JF ina mabilonea na mamilionea wengi sana nyuma ya "keyboard" lakini kiuhalisia utakuta waliokuwa wengi wanalelewa kwa mashemeji zao, na kutesa na vijisenti wanavyohemea kwa dada zao waliolewa!?

Kukosa maneno ya staha kwa mtu mzima aliyekosa fedha ama maskini, si uungwana hata kidogo. Hata kama una hela za kukutosha kuendesha maisha yako, siyo busara wala hoja ya msingi ya kumkoaea adabu yule asiyekuwanacho.

Hujafa hujaumvika. Itafika muda ukipevuka vya kutosha, ndipo macho yatakufunguka, na utatambua kwa nini Watanzania wenzako waliokuwa wengi ni maskini japo kuwa umri umewapika mkono. Kati ya hao naamini wapo hata ndugu zako wa damu.
 
tajiri hebu gonga gonga hiko kichwa kama ndani kuna ubongo .................eeh vipi upo??
 
JF ina mabilonea na mamilionea wengi sana nyuma ya "keyboard" lakini kiuhalisia utakuta waliokuwa wengi wanalelewa kwa mashemeji zao, na kutesa na vijisenti wanavyohemea kwa dada zao waliolewa!?

Kukosa maneno ya staha kwa mtu mzima aliyekosa fedha ama maskini, si uungwana hata kidogo. Hata kama una hela za kukutosha kuendesha maisha yako, siyo busara wala hoja ya msingi ya kumkoaea adabu yule asiyekuwanacho.

Hujafa hujaumvika. Itafika muda ukipevuka vya kutosha, ndipo macho yatakufunguka, na utatambua kwa nini Watanzania wenzako waliokuwa wengi ni maskini japo kuwa umri umewapika mkono. Kati ya hao naamini wapo hata ndugu zako wa damu.
Tafuta hela masikini wewe
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kipaumbele changu si pesa shekhe, sas unataka kila mtu aweke pesa kama kipaumbele chake si tutaishia kuchinjana,

Kumbuka kuna watu utajiri wao unatokana na uporaji wa fulsa zetu, siku tukiamua kufanya come back dunia itageuka rangi
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Omba yasikukute.....wewe ni mtu mwenye KIBURI.....unajisikia sana wewe....
 
Huku kufarijiana na kupeyana moyo kwenye hamna ndo kumelifikisha hili taifa hapa.

Mimi naungana na matajiri wote wenye kusimanga masikini. Hawa matajiri waendelee vivyo hivyo ili maskini waache kulialia na waamke wachangamke wakachape kazi.

Nawaasa matajiri wote kuwa maskini OMBAOMBA wakiwaomba hela na si kuomba fursa watemeeni mate na hakikisheni mnawasimanga mpaka ikiwezekana wapate hasira wajiue😄😄😄. Hii itapunguza OMBAOMBA ambo sasa wameanza kuzoea na kuona ufahari kwa ujinga huo.

Matajiri kamwe msiwe na roho nyepesi kusaidia pesa kwa maskini maana hii MIZOMBIE pindi kila mara inaposaidiwa inazidi kujisahau.

#TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA UMASKINI NA MASKINI!!!!
 
We shoga naona umerejea na ushoga wako ulipotea sijui ulikuwa unashenyetwa wapi
 
Back
Top Bottom