Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kama pesa zenyewe unazoringishia ndo umepata Kwa staili hiyo, Bora nife maskini nipate Pepo kuliko njia hiyo ambayo Ina maswali mengi Kwa Mungu.
 
Pesa ni namba tu
Haina idadi wala mwisho
Ukijikuta unajua kutafuta hela utaishia kukufuru
 
Unaandika utumbo na hujala we , toka na pigo zako za kifala we dudududulu 🎶
maxresdefault(0).jpg
 
maisha ni zaidi ya hela hatukuumbwa wala kuzaliwa nazo ni hiarj ya mtu kuwa na hela
 
Mimi sina hela ila nimefanikiwa kuwasitiri wazazi wangu kwa kanyumba kazuri na wanaishi vizuri,sasa tajiri mtoto kwa nini unaruhusu wazazi wako waishi kwa uchuuzi wa maparachichi?
Bora yangekuwa ya jumla lakini kwenye ungo na stuli?
 
Mimi sina hela ila nimefanikiwa kuwasitiri wazazi wangu kwa kanyumba kazuri na wanaishi vizuri,sasa tajiri mtoto kwa nini unaruhusu wazazi wako waishi kwa uchuuzi wa maparachichi?
Bora yangekuwa ya jumla lakini kwenye ungo na stuli?
Tafuta hela masikini wewe
 
Back
Top Bottom