The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Unapata wapi muda maana tajiri hapotezi muda na maskini.Tafuta hela masikini wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapata wapi muda maana tajiri hapotezi muda na maskini.Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini wewe
Ngoja mgamga akuambie nataka mbo* tuone unafanyejeTafuta hela masikini wewe
Kama pesa zenyewe unazoringishia ndo umepata Kwa staili hiyo, Bora nife maskini nipate Pepo kuliko njia hiyo ambayo Ina maswali mengi Kwa Mungu.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Tafuta hela masikini weweNgoja mgamga akuambie nataka mbo* tuone unafanyeje
Tafuta hela masikini weweKama pesa zenyewe unazoringishia ndo umepata Kwa staili hiyo, Bora nife maskini nipate Pepo kuliko njia hiyo ambayo Ina maswali mengi Kwa Mungu.
Tafuta hela masikini weweUnapata wapi muda maana tajiri hapotezi muda na maskini.
Tafuta hela masikini weweNiaje Mzee wa kuweka mbao katikati ya Tsh20,000.
Utatangulia wewe Mimi utaniachaChief Godlove pesa zako ni za punje tutakuhesabia tuu miaka.. niko pale
Tafuta hela masikini wewePesa ni namba tu
Haina idadi wala mwisho
Ukijikuta unajua kutafuta hela utaishia kukufuru
Tafuta hela masikini weweUnaandika utumbo na hujala we , toka na pigo zako za kifala we dudududulu 🎶View attachment 3174730
Tafuta hela masikini wewemaisha ni zaidi ya hela hatukuumbwa wala kuzaliwa nazo ni hiarj ya mtu kuwa na hela
Tafuta hela masikini weweWewe unazo?
Fisi maji wewe!
Pesa za kupewa baada ya kuingiliwa kwa pupa kinyume na maumbile unakuja kujidai nazo.Utatangulia wewe Mimi utaniacha
Tafuta hela masikini weweMimi sina hela ila nimefanikiwa kuwasitiri wazazi wangu kwa kanyumba kazuri na wanaishi vizuri,sasa tajiri mtoto kwa nini unaruhusu wazazi wako waishi kwa uchuuzi wa maparachichi?
Bora yangekuwa ya jumla lakini kwenye ungo na stuli?
Tafuta hela masikini wewePesa za kupewa baada ya kuingilia kwa pupa kinyume na maumbile unakuja kujidai nazo.
Takataka.