Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Mrudie Mungu kijana bado una njia ndefu sana ya kufika unakokwenda.

Mwenye pesa wala hajisifu ni wewe masikini ndiyo unapiga kelele dunia nzima ikutambue. What a joke!
Inakuwaje mtu mzima kuwa masikini?
Mimi ni mtoto mdogo ila pesa imejaa
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Yetu macho
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Eti "nashindwaga";ndiyo nini, ni lugha gani hiyo. Anayejisifu ana hela na hajui hata kiswahili tu,, ni mjinga kama wajinga wengine.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
WE JAMAA ELA ZAKO ZITAKUA ZA MAJINI....MWAKA 2015 ULIKUA FALA TU MACHINGA PALE STAND YA ZAMANI SINGIDA MJINI LEO UNASIMANGA WATU...KAMA ELA ZAKO ZA HALALI ELEKEZA WATU NJIA YA KUPITA SIO UNASIMANGA...NAJUA ITAKUUMA UKWELI MCHUNGU..
 
WE JAMAA ELA ZAKO ZITAKUA ZA MAJINI....MWAKA 2015 ULIKUA FALA TU MACHINGA PALE STAND YA ZAMANI SINGIDA MJINI LEO UNASIMANGA WATU...KAMA ELA ZAKO ZA HALALI ELEKEZA WATU NJIA YA KUPITA SIO UNASIMANGA...NAJUA ITAKUUMA UKWELI MCHUNGU..
Tafuta hela masikini wewe
 
Back
Top Bottom