financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Kama wewe umepata basi usisimange wengine, kama una nia ya kusaidia na wengine basi share hizo fursa na sisi tupate pesaš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee kumbeš„±Chief Godlove pesa zako ni za punje tutakuhesabia tuu miaka.. niko pale
Mrudie Mungu kijana bado una njia ndefu sana ya kufika unakokwenda.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Sasa Chief, naona kila mtu unampa hili jibu. Kwa nini usitoe mbinu sasa ili watu watafute hizo hela?Tafuta hela masikini wewe
Alisema anakupenda sana coca, itakuwaje sasa?Mchungaji kahamia JF, tutakoma.
Mweeeeh
Yetu machoHuwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Eti "nashindwaga";ndiyo nini, ni lugha gani hiyo. Anayejisifu ana hela na hajui hata kiswahili tu,, ni mjinga kama wajinga wengine.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Aliyekupa ni shetaniNani huyo alienipa unamjua
Ni mpumbavu tu, nina mashaka marinda yake hayapo vyema.Eti "nashindwaga";ndiyo nini, ni lugha gani hiyo. Anayejisifu ana hela na hajui hata kiswahili tu,, ni mjinga kama wajinga wengine.
WE JAMAA ELA ZAKO ZITAKUA ZA MAJINI....MWAKA 2015 ULIKUA FALA TU MACHINGA PALE STAND YA ZAMANI SINGIDA MJINI LEO UNASIMANGA WATU...KAMA ELA ZAKO ZA HALALI ELEKEZA WATU NJIA YA KUPITA SIO UNASIMANGA...NAJUA ITAKUUMA UKWELI MCHUNGU..Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Nazani itakuwaIvi shule zimefungwa zote
Wapo likizo ndo maanaNazani itakuwa
Tafuta hela masikini weweWE JAMAA ELA ZAKO ZITAKUA ZA MAJINI....MWAKA 2015 ULIKUA FALA TU MACHINGA PALE STAND YA ZAMANI SINGIDA MJINI LEO UNASIMANGA WATU...KAMA ELA ZAKO ZA HALALI ELEKEZA WATU NJIA YA KUPITA SIO UNASIMANGA...NAJUA ITAKUUMA UKWELI MCHUNGU..
Tafuta hela masikini weweIvi shule zimefungwa zote
Tafuta hela masikini wewe
Tafuta hela masikini weweNi mpumbavu tu, nina mashaka marinda yake hayapo vyema.
Tafuta hela masikini weweMrudie Mungu kijana bado una njia ndefu sana ya kufika unakokwenda.
Mwenye pesa wala hajisifu ni wewe masikini ndiyo unapiga kelele dunia nzima ikutambue. What a joke!
Inakuwaje mtu mzima kuwa masikini?
Mimi ni mtoto mdogo ila pesa imejaa
Niaje Mzee wa kuweka mbao katikati ya Tsh20,000.Tafuta hela masikini wewe