secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Eti nguvu ya pesa na jicho la tatu.Tafuta hela masikini wewe
Badilisha slogan isomeke nguvu ya pesa na jicho la nyuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti nguvu ya pesa na jicho la tatu.Tafuta hela masikini wewe
Masikini baba yakoTafuta hela masikini wewe
Kwa hela zako hapana sina haja nazo,mhurumie mama yako basi yale mazingira ya kwenu hayafai hasa tunapoelekea msimu huu wa mvua,si unaijua ipinda yetu lakini?Tafuta hela masikini wewe
Ipinda ndio wapi mkuuKwa hela zako hapana sina haja nazo,mhurumie mama yako basi yale mazingira ya kwenu hayafai hasa tunapoelekea msimu huu wa mvua,si unaijua ipinda yetu lakini?
Ni mji mdogo maarufu ktk wilaya ya kyela ndio kwetu akiwemo na huyo anayejiita tajiriIpinda ndio wapi mkuu
Unatuambia au unatufokea🤕, Anyway pesa haitafutwi inategwa...Ukiitafuta utasubir san.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Mkuu acha kuhibizana na huyu mtu maana utatapika bureNi mji mdogo maarufu ktk wilaya ya kyela ndio kwetu akiwemo na huyo anayejiita tajiri
kua tajiri au maskini ni uamuzi binafsi Tanzania 🐒Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kwanini mnaongea simple!!!Wajiunganishe na ancestors wao.
Malizia tu,Watu wa Makambako mnadharau sana.Anyway mpaji ni Mungu kila mtu atapata kwa zamu yake
Kumbe Victoire jamaa anauza sembe?Wewe mwenyewe pawder ndo inakuweka mjini.Punda wewe
Mtu hujisifu kwa kitu ambacho hana.Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Siku akikamatiwa china atanyongwaPunda huyo.
Huna muundo mwingine wa sentensi zaidi ya huo?Fukara wa akili wewe!Tafuta hela masikini wewe