ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Jamaa kaja huku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh...!Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Duh...!Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kwanza hata mia huna umekuja uone reaction ya watu watasemaje kapuku wewe 😂😂😂😂 jana tu ulikuwa unadowea mihogo kumbe umekuja kujikuna nakujichekesha huku. Pimbi weeHuwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Kadowea mihogo huko anakuja Jf fumbafu zakeUme shiba uji kijana.
Huo wimbo hawakuimba Daz baba ila hapo alishirikishwa Daz mwalimuoya songi lako hilo daz baba alishakuimbia. wanamwita kaka poa huyu jamaa,wanamwita mtoto wa watu huyu jamaa sijui nidhiki au ni laana huyu jamaa, nakuomba umsameh maulanaa, jamaa amekomaa amekubuh kwenye ukafir upuuzi huu.
Nataka kuwa na mihela kama wewe nifanyeje BossHuwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Njoo pmNataka kuwa na mihela kama wewe nifanyeje Boss
SawaNjoo pm
Acha ujinga houseboy wa shemeji yako. Umeshakuwa mtu mzima kula na kulala kwa shemejiTafuta hela masikini wewe
Acha ujinga houseboy wa shemeji yako. Umeshakuwa mtu mzima kula na kulala kwa shemejiTafuta hela masikini wewe unazeeka sasa
Acha ujinga houseboy wa shemeji yako. Umeshakuwa mtu mzima kula na kulala kwa shemejiTafuta hela masikini wewe
Acha ujinga houseboy wa shemeji yako. Umeshakuwa mtu mzima kula na kulala kwa shemejiTafuta hela masikini wewe
Acha ujinga houseboy wa shemeji yako. Umeshakuwa mtu mzima kula na kulala kwa shemejiTafuta hela masikini wewe unazeeka sasa ukiwa fukara
Huu uzi nacheka hadi kufurahi sana, ameshiba uji eti?Ume shiba uji kijana.