Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Hivi inakuwaje mtu mzima anakosa pesa Tanzania hii?

Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Ili tukupime kama una Ela ngoja figo zako zifeli ndo tutajua kijana ulimaanisha au ulikuwa unabwabwaja.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Naomba codes
 
Naomba codes
Hawezi kukupa codes maskini tu huyo hajui lolote kuhusiana na pesa ndio maana amkariri kusema tafuta pesa.

Tafuta fursa za kuingiza pesa mkuu, anza na networking, network za watu walio serious katika kukuza uchumi wao. Mtaanza kushea fursa mbalimbali na kupeana mikakati ya kuziingia.

Utajuaje wapo seriaz

Kupitia maongezi, sio mkikaa ni kujadili Simba, Yanga, Man U/C, Livapul, mademu wakali. Hamtoboi.

Pesa ni matokeo. Tafuta na changamkia fursa.
 
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu
Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
wewe dawa yako ni mauti. siku ikifika ndiyo utajua hujui. Mpe Yesu maisha yako uwe na uzima wa milele.

saa ya wokovu ni sasa!
 
Back
Top Bottom