Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tafuta shughuli halali ya kufanya unataka kila mtu apate pesa kwa kutinduliwa kama wewe?Huwa najiuliza masikini tena lenye umri mkubwa linalialia kukosa pesa aisee nashindwaga kuelewa aisee yaani kama Mimi mtoto mdogo mwenye pesa nyingi natamba nyie mijitu mizima mnakosaje pesa hivi hao wake zenu wana akili timamu kuolewa na masikini kama nyie acheni ujinga tafuteni hela nyie mafukara halafu unakuta jitu linajisifia kuwa na umri mkubwa wakati halina pesa ukiwa na umri mkubwa halafu huna pesa wewe ni kubwa jinga hamna tuzo ya umri mkubwa ila Kuna tuzo ya tajiri mkubwa
Na kuchambua njegere kibarazani kwa shemeji🤣Acha ujinga bro, matajiri hawashindi mtandaoni kujibu ujinga na kutangaza utajiri wa shemeji zao. Ondoka kwa shemeji nenda katafute pesa utakufa maskini.
Au unafurahia kila siku kutumwa sokoni Kisutu kununua korosho na kufuata watoto shule.
Sekunde kadhaa tajiri feki upo standby kujibu meseji inayoingia.
Shetani ndo aliyekupa! Kauli zako zinaonyesha mali ni za shetani!Nani huyo alienipa unamjua
mtoto wa watu huyo oohoo! Pesa ina siri sanaChief Godlove pesa zako za Manyoka😁
Tafuta hela masikini wewe unazeeka sasaShetani ndo aliyekupa! Kauli zako zinaonyesha mali ni za shetani!
Tafuta hela masikini weweMwenye tochi alete tummulike kwanza tuhakikishe kama mfumo mzima wa marinda upo salama sio aje kutulingishia hela ambayo kuipata hadi achoreshwe namba saba
Tafuta hela masikini wewe unazeeka sasa ukiwa fukaramtoto wa watu huyo oohoo! Pesa ina siri sana
Tafuta hela masikini weweNgoja nikapitie list ya Forbes huenda nikakuona tajiri mtoto
Tafuta hela masikini weweAttention seeking now ni ugonjwa wa akili....
Huwezi kuta watengeneza ajira kama Bakhresa au yule tajiri wa manyara "Tanzanite liquors" anafanya cheap discussions kama hizi...
Tafuta hela masikini weweKapitie list ya Forbes wa Tandale ya Bibi Nyau🤣, hapo utamkuta
Tafuta hela masikini weweNa kwa taarifa yako pesa haitafutwi. Kinachotafutwa ni fursa.
Vile hujui unadanganya watu watafute pesa. Pesa ni matokeo, ukishapata fursa, kama ni nzuri utapata pesa nzuri.
oya songi lako hilo daz baba alishakuimbia. wanamwita kaka poa huyu jamaa,wanamwita mtoto wa watu huyu jamaa sijui nidhiki au ni laana huyu jamaa, nakuomba umsameh maulanaa, jamaa amekomaa amekubuh kwenye ukafir upuuzi huu.Tafuta hela masikini wewe unazeeka sasa ukiwa fukara
Aaaa wewe jamaa nimekukubali, wewe tajiri kweli aisee. Yaani una ukwasi wa maana. Wallet yako haikosi dolali na mapound. Daa wee ni noma aisee. Hakika kwa utajiri ulionao utatunyoosha sana mjini hapaTafuta hela masikini wewe