Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nalo neno
 
Mbona kuna boxer nzuri saana jaman large na Xxl alafu nyepesi tu pale postaa kuna duka la boxer kibao alafu bei rahisi tu
Posta ya hapa Kibondo,sijaziona,
ïla pia wanawake wanavaa vipensi vya jeans badaĺ ya pichu
 
Hata mimi huwa nawashangaa alafu linaonekana yan nikiona mwanaume kavaa hivyo hata hamu inaniisha na huwa nakata stimu balaaa. Na mtu wa hivyo haezi nigusa hata mkono wangu maana najua moja kwa moja kuwa huyu mtu ni mchafu. Wanaume mbadilike


mie ndo siyapend kbsss !wengne asbh anaamka nalo anashnda naloo weeee mdudu umejichora arghhhhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…