Na mtu huyo huyo utakuta yuko busy kusaidia watu baki na marafiki wakati wazazi wanaishi kwenye ufukara uliotopea.Kuwa oyaone, ndio utashagaa 9 kuitwa kenda...
Endelea kuona wazee wako hawastahili msaada wako kwa kuwa tu haujaridhi chochote toka kwao.
Umesoma ukaelewa au umeamua kushupaza shingo?Acha ujinga sikuomba wanizae hivyo ni lazima watimize wajibu tena ikibidi walambwe viboko walishindwa kunilea ila Mimi sijawazaa sio lazima kuwapa pesa zangu
😅😁😆
Mimi nakuunga mkono mkuu, nliwahi muomba mzazi wangu mtaji na nilimletea business plan kabisa. Alikataa na kejeli juu kuwa sitoweza fanikiwa kibiashara. Baadae ikabidi nijiajiri tu huko nikawa napata visenti kidogo akaanza kunikejeli kwamba siwezi toboa kupitia "kujiajiri" na kwamba siwezi mfikia mali zake.Huwa nashangaa unakuta mzazi anakua tegemezi Kwa kijana ambae amejitafuta Kwa jasho na damu amejipata mzazi anakua analandalanda kumnyonya huyu kijana Kwa lengo kwamba amemzaa kwani huyu mzazi yeye alizaa Ili amfanye mtoto punda yaani kiasi kwamba mtoto asipomsaidia mzazi anatangaza kutoa laana wakati na yeye alikua kijana kwahiyo anampa mzigo huyu mtoto baada ya kupambania familia yake anaanza kulea mzazi asiejielewa aisee mtu mweusi akili hana kabisa huu ni udiktekta mambo leo Kwa watoto ukweli usemwe nyie wazee msipende Ganda la ndizi
Endelea kuwalea inaonekana hao walitimiza wajibu waoHakika wazazi nitawatunza Hadi siku ya mwisho. Wazazi wangu ni Moja ya familia yangu Tena Bado tu sijafanikiwa kuwa na Mali hakika wazazi wangu wangeona thamani kamili ya kuzaa mtoto.
Nawapenda sana wazazi wangu.
Huwa nawaombea kungekuwa na uwezo wa kuishi milele wangeishi milele hakika Ili waone faida ya kunizaa na kunikuza haijarishi sijarithishwa hata njiwa.
Potelea mbali Ile Hali ya baba kujikaza na asimwagie Nje jambo tosha la kushukuliwa daima .
Na unakuta hilo ni jina la babu yako au mjomba wa baba yako alafu unajitia kujua pumbavu kabisaNyie si mnawaambiaga watoto kuwa "tafuta cha Kwako acha kutegemea urithi wa wazazi" na sisi tunawaambia na nyie wazazi wa hovyo "tafuteni vya kwenu, acheni kutegemea vya watoto"
Yaani unitelekeza alafu nikutunze, labda kama sio mimi George..
Ban imeisha lini? tuanzishe vita ingineMzazii akuzaeee..akusomesheee kesho umuombee mtajii akikunymaa ana rohooo mbayaaaa..! unataka akubebe mpaka linii??
kwani bado kuna Ban.. mzazi anapokea kiinua mgongo chake unamletea bajeti ya biasharaaaa..!! kapiga madusco unataka akupee helaaa...muombe akikataa usimchukieeBan imeisha lini? tuanzishe vita ingine
Haya maneno nenda. kanwambie baba yako mpuuzi aliyekutelekezs sio Mimi.Fanya kazi acha kusubiri kulelewa na watoto
Haya bhana. We wakomalie wazee na endelea kuwatunishia misuli.Acha ujinga wewe kutetea mazee ya ovyo
Mpumbavu bibi yako kum@ wewe..Na unakuta hilo ni jina la babu yako au mjomba wa baba yako alafu unajitia kujua pumbavu kabisa
Kwa maana hiyo unataka kusema ww ukiwa mzazi ; mtoto akililia wembe utampa? Mtoto wako anayetambaa akiufuata moto utamwacha afanye kama atakavyo? Unatakiwa ujifunze kufanya maamuzi kwa mambo makubwa kutokana na uzoefu unaopatikana katika mambo madogo. Kwa akili ya kawaida huwezi kuridhia kumpa mtoto m5 hata kama unajua ni haki yake huku ukijua fika kwamba kwa hizo m5 ndo umempa mwanao Umauti kwa mikono yako mwenyewe wewe mzazi. Asikudanganye mtu. Huo sio upendo.Hiyo Sasa ndio roho mbaya yaani eti kisa mtu mlevi ndio umbague usimpe mgao acheni roho mbaya nyie wazee ndio maana mnatelekezwa na watoto mfano hicho ulichoandika ndio ubaguzi wenyewe kifo huwezi kumondolea wewe mzazi kama kufa mtoto atakufa tu hata usipompa hela