Hivi inawezekana vipi walimu watatu wakafundisha wanafunzi 700 katika shule moja.

Hivi inawezekana vipi walimu watatu wakafundisha wanafunzi 700 katika shule moja.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Ukisikiliza wanasiasa unaweza kubaki Midomo wazi

Shule yenye wanafunzi 700 kuwa na Walimu watatu hii maana yake walimu wanachokifanya ni kugeuka maaskari. Tu kuhakikisha wanafunzi wanalindwa ili wasiumizane na warejee majumbani kwao salama

Nimeshuhudia haya maeneo mengi ya vijijini Hakuna walimu .


Changamoto Serikali haina fedha za ku-recruit walimu Basi waambie wazazi wachangie Asilimia ndogo ili angalau watoto wao wapate kufundishwa .


Pia watu wanazaliana Sana na hii inapelekea kila mwaka the number of enrollment kuongezeka kwa kasi kubwa

mzazi unaweza kuchangia chochote kitu ili mwanao Apate Elimu Bora na afikie Malengo yake usishindane na wana-siasa
 
Ukisikiliza wanasiasa unaweza kubaki Midomo wazi

Shule yenye wanafunzi 700 kuwa na Walimu watatu hii maana yake walimu wanachokifanya ni kugeuka maaskari. Tu kuhakikisha wanafunzi wanalindwa ili wasiumizane na warejee majumbani kwao salama

Nimeshuhudia haya maeneo mengi ya vijijini Hakuna walimu .


Changamoto Serikali haina fedha za ku-recruit walimu Basi waambie wazazi wachangie Asilimia ndogo ili angalau watoto wao wapate kufundishwa .


Pia watu wanazaliana Sana na hii inapelekea kila mwaka the number of enrollment kuongezeka kwa kasi kubwa

mzazi unaweza kuchangia chochote kitu ili mwanao Apate Elimu Bora na afikie Malengo yake usishindane na wana-siasa
Mwana sii Hasaa nomaaa saaanaa😂😂
 
Kuna shule huko walikubaliana wazazi wawe wanatoa 500 kwa mwezi ili kumwezesha posho mwalimu kiasi ya laki 3 ili ajitolee, matokeo yake wakatoa mwezi wa kwanza tu, wa 2 na 3 madeni. Wazazi wanasimamia pointi kwamba elimu ni bure kwa hiyo 500 ni wizi, mtoto wa wa watu akaamua aache tu.
 
Kuna shule Moshi vijijini jimbo la Vunjo la mweshimiwa Kimei inaitwa lyasongoro ni shule ya siku nyingi lakini ina walimu 4 tu.je hapo tuseme walimu hawatoshi au ni ugawaji mbovu wa walimu.
 
Mama anaendelea kuupiga mwingi,chama tawala kimeshika hatamu mambo yanaenda vizuri
 
Back
Top Bottom