Magufuli hakuheshimu katiba, aliminya haki za wananchi, Alileta siasa za biashara za kununua watu, Aliiba chaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kiwango cha Kutisha, Aliua watu Zanzibar, Akaunda magenge ya wasiojulikana, wakateka, wakaua watu hivihivi bila hofu, Akatumia pesa za nchi bila due process, Alikuwa mkanda, Akanajisi bunge, vyombo vya habari na mahakama, Alikuwa katili alivunja nyumba za wananchi wakati kuna zuio la Mahakama, Akateua na kulinda viongozi washenzi kama akina Sabaya na Makonda, Alikuwa muongo, msanii asiye na lugha za staha.
Kiufupi huyo Magufuli wako alikuwa tje worst president, hatuwezi kumuweka katika kundi la marais wazuri wa nchi hii