Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Hayo yote yameangukia kwenye swala la Uchumi na Democracy.Upo sahihi kwa mtazamo wako Wala sikupingi lakini nazani yote ni kwa Sababu kipindi anachukua nchi presure ilikua kubwa ukiizingatia upinzani ulikua mkubwa Sana .Kuitoa nchi kwenye mazoea na kuiweka sawa ilifkia kipindi akawa anajihami na Katika kujihami ikapelekea kuumiza watu.

Hata na Mimi nikili kaniumiza kiuchumi pakubwa Sana lakini nshamsamehe na bado nakili Kuna vitu kafanya kwa faida ya Nchi
Kwanini uumize watu wengine kwa insecurities zako binafsi, Tena yeye aliyejiona mzalendo badala atendee ushaur wa wapinzani akawa anawatesa,naona katutudisha nchi yetu hatua nyingi nyuma.
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????
JPM alikuwa ni kiongozi mwenye kufanana sana na mahitaji ya nchi yetu. Uonevu ulikuwa umezidi na watu wakijiona ni miungu watu.

Kulikuwa na umafia wa hali ya juu, mitandao ya unyanganyi wa mali za watu ukiongozwa na wafanyakazi wa serikali, hatukuogopana kiasi cha kuoneana huku tukijua yule anayeonewa hana uwezo wa kumfanya chochote muoneaji.

Reli mara ya mwisho kufika Moshi ilikuwa 1995 JPM mwaka jana kaifufua hiyo safari Wachagga wameenda krismasi wakitandika pombe kwenye mabehewa. Hivi sasa kuna wataalam wa masuala ya masuala ya reli 120 wamesomeshwa pale NIT ili wakati SGR ikianza kazi tuwe tayari na wataalam wazalendo.

Ndege hizi kama sio uwezo wa kufuatilia aliokuwa nao RIP zisingenunuliwa. Twiga asingeonekana angani, Mama Samia asingesafiri kwenda Kenya na Uganda akijinafasi.

Hayati alikuwa na udhaifu wake wa hasira na maamuzi yenye kuumiza wengi. Ukitaka tajiri aishi kama shetani maana yake unamuua na njaa mfanyakazi wake. Manji alienda zake Canada, Mo Dewji anaweza kwenda zake South Africa, Bakhresa anaweza kuishi Dubai au New York, tatizo ni yule dereva wake, tatizo ni yule mfanyakazi wa kampuni yake anayesomesha na kulea familia.

Hayati alikuwa na matatizo ya kiafya ambayo ni makubwa, ilikuwa ni vigumu kwake kuwa na amani ya kiakili ikiwa ndani ya moyo kumewekwa kitu cha kumsaidia kupumua. Alikuwa ni mkiwa anayeishi miongoni mwa watu wengi kwa wakati mmoja.

Mungu natumaini amemsamehe madhambi yake kwa kuweza kupata sakramenti ya mwisho siku aliyoaga dunia
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????
JPM alikuwa ni kiongozi mwenye kufanana sana na mahitaji ya nchi yetu. Uonevu ulikuwa umezidi na watu wakijiona ni miungu watu.

Kulikuwa na umafia wa hali ya juu, mitandao ya unyanganyi wa mali za watu ukiongozwa na wafanyakazi wa serikali, hatukuogopana kiasi cha kuoneana huku tukijua yule anayeonewa hana uwezo wa kumfanya chochote muoneaji.

Reli mara ya mwisho kufika Moshi ilikuwa 1995 JPM mwaka jana kaifufua hiyo safari Wachagga wameenda krismasi wakitandika pombe kwenye mabehewa. Hivi sasa kuna wataalam wa masuala ya masuala ya reli 120 wamesomeshwa pale NIT ili wakati SGR ikianza kazi tuwe tayari na wataalam wazalendo.

Ndege hizi kama sio uwezo wa kufuatilia aliokuwa nao RIP zisingenunuliwa. Twiga asingeonekana angani, Mama Samia asingesafiri kwenda Kenya na Uganda akijinafasi.

Hayati alikuwa na udhaifu wake wa hasira na maamuzi yenye kuumiza wengi. Ukitaka tajiri aishi kama shetani maana yake unamuua na njaa mfanyakazi wake. Manji alienda zake Canada, Mo Dewji anaweza kwenda zake South Africa, Bakhresa anaweza kuishi Dubai au New York, tatizo ni yule dereva wake, tatizo ni yule mfanyakazi wa kampuni yake anayesomesha na kulea familia.

Hayati alikuwa na matatizo ya kiafya ambayo ni makubwa, ilikuwa ni vigumu kwake kuwa na amani ya kiakili ikiwa ndani ya moyo kumewekwa kitu cha kumsaidia kupumua. Alikuwa ni mkiwa anayeishi miongoni mwa watu wengi kwa wakati mmoja.

Mungu natumaini amemsamehe madhambi yake kwa kuweza kupata sakramenti ya mwisho siku aliyoaga dunia

Sijawahi kuikubali style ya uongozi wa mwendazake
Nalog off
Kweli kabisa.
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Kama tusingempata JPM 2015 tungekuwa hapa:
1. SGR ingekuwa imsafika Mwanza siku nyingi. Wakati anaingia maandalizi yote yalikuwa yamekamilika ikiwemo mkopo kutoa Eximbank ya
China. Yeye akafuta mkopo huo kwa hisia kwamba kuna ulaji na akaanza kujenga reli hiyo kwa fedha za ndani.
2. Bandari ya Bagamoyo ingekuwa imeshajengwa. Ajira zipatazo 20,000 zingekuwa zimeshapatikana. Tusingekuwa na Machinga economy
3. LNG plant ya Lindi ingekuwa imeshajengwa na ingekuwa inatoa megawatt 3,000 za umeme
4. Miji ingekuwa misafi. Tusingekuwa na Machinga economy kama ilivyo sasa.
5. Kusingekuwa na fedheha ya wizi wa kura kama ilivyokuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na na ule wa serikali za mtaa wa 2019. Kilichotokea ilikuwa ni aibu na fedheha kwa taifa zima.
6. Watu kadhaa wasingekuwa wamepoteza maisha yao - Ben Saanane, Azori Gwanda, Akwilina Akwilini na wengine wemgi.
7. Tundu Lissu asingepigwa risasi mithili ya nyati!

Nwasilisha
 
Magufuli aliwakomboa sana kifikra watanzania.
Katiba ,lockdown, barakoa ,chanjo zote ni porojo zilizopuuzwa na wananchi
 
Tumpumshe mzee wa watu. Si busara kumsema marehemu maana hawezi kujitetea. Tugange yajayo

NB. HAKUNA BINADAMU MKAMILIFU
Wewe ulitaka asemwe lini wakati akiwa hai alikuwa ni wa kutukuzwa tu, ulikuwa ukijaribu kumkosoa tu unapambana uso kwa uso na wasiojulikana.!

Ngoja watu wamseme kwa sababu ndio fursa na pia wako salama hata hivyo. Hili litakuwa ni funzo kwa wenye akili kama zake kwa maana wapo tu kwenye jamii yetu.

Ila ukweli ni kwamba, huyo jamaa alikuwa ni mtu bogus ni hakuna mfano, ngoja afe nchi ipumzike.
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Yaani Lowassa ndio angeendeleza wizi mara kenda ya ule wa Kikwete na Magufuli. Halafu taasisi zote nyeti wangejaa watu wa Arusha, Kilimanjaro na Manyara, kama vile CRDB walivyojaa wachaga.
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Hata Chadema kupitia wabunge wake kule Bungeni walisema nchi inahitaji Rais Dikteta, cha ajabu baada ya maombi yao kujibia wanakuja tena na kujiliza liza hapa.
 
Kwann mnafungua nyuzi kumuongelea huyu jambazi, mkabila, mkanda, muuwaji, mtekaji, mwenye roho mbaya, mbaguzi, mwnye kauli chafu, mtukanaji mbele ya hadhara, n.k?

Huyu ni chukizo mbele za Mungu na wanadamu.
Lowasa angekuwa Rais, leo hii wakurugenzi na madc wooote wangekuwa ni watu kutoka Arusha, Manyara na Klm
 
Uchumi na democracy ndo sifaa kuu ya maendeleo. Kwa hiyo jpm aliharibu kila kitu maana iriharibu inner core ya maendeleo akabaki anapapasa tu au anapuyanga kama zitto kabwe
Uarabuni kuna ubabe lakini hatuwafikii kwa maendeleo
 
Magufuli hakuheshimu katiba, aliminya haki za wananchi, Alileta siasa za biashara za kununua watu, Aliiba chaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kiwango cha Kutisha, Aliua watu Zanzibar, Akaunda magenge ya wasiojulikana, wakateka, wakaua watu hivihivi bila hofu, Akatumia pesa za nchi bila due process, Alikuwa mkanda, Akanajisi bunge, vyombo vya habari na mahakama, Alikuwa katili alivunja nyumba za wananchi wakati kuna zuio la Mahakama, Akateua na kulinda viongozi washenzi kama akina Sabaya na Makonda, Alikuwa muongo, msanii asiye na lugha za staha.

Kiufupi huyo Magufuli wako alikuwa tje worst president, hatuwezi kumuweka katika kundi la marais wazuri wa nchi hii

[emoji706]
 
Mkuu nyanyua mkono mmoja juu ujipige pige kifuani ukiri ujinga wako!
Yaani mtu ameharibu uchumi na demokrasia lakini kwako bado ni bora tu kwako.
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Yani unakubali tulikuwa tunahitaji rais dikteta, halafu unasema JPM aliharibu democracy.

Mbona kama unajipinga mwenyewe?
 
Tungekuwa tayari kwenye machafuko bila ubishi.

Gap la matajiri na maskini lilikua kubwa sana,

Na ukandamizaji wa haki za watu wa chini ulikua mkubwa vile vile,

Ilibakia miaka mingine mitano tu watu waingie barabarani.

Magufuli alijitahidi sana kurestore order.

Amefanya kazi nzuri sana.

Ila Sasa naona tunataka kurejea tulikotoka.

Rais anatakiwa afahamu kuwa watu waliochagua serikali hii ni watu WA aina gani.

Sio investors na Hawa watu wenye makampuni makubwa wanaoitwa wawekezaji .

Ni watu wa hali ya nchini ambao walikua na Imani na mtangulizi wake, hao ndio anatakiwa kuwa nao karibu,

Hao ndio watakaompigia kura kama akitaka kugombea tena,

Uamuzi ni wake.
 
Kama tusingempata JPM 2015 tungekuwa hapa:
1. SGR ingekuwa imsafika Mwanza siku nyingi. Wakati anaingia maandalizi yote yalikuwa yamekamilika ikiwemo mkopo kutoa Eximbank ya
China. Yeye akafuta mkopo huo kwa hisia kwamba kuna ulaji na akaanza kujenga reli hiyo kwa fedha za ndani.
2. Bandari ya Bagamoyo ingekuwa imeshajengwa. Ajira zipatazo 20,000 zingekuwa zimeshapatikana. Tusingekuwa na Machinga economy
3. LNG plant ya Lindi ingekuwa imeshajengwa na ingekuwa inatoa megawatt 3,000 za umeme
4. Miji ingekuwa misafi. Tusingekuwa na Machinga economy kama ilivyo sasa.
5. Kusingekuwa na fedheha ya wizi wa kura kama ilivyokuwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 na na ule wa serikali za mtaa wa 2019. Kilichotokea ilikuwa ni aibu na fedheha kwa taifa zima.
6. Watu kadhaa wasingekuwa wamepoteza maisha yao - Ben Saanane, Azori Gwanda, Akwilina Akwilini na wengine wemgi.
7. Tundu Lissu asingepigwa risasi mithili ya nyati!

Nwasilisha
Mafutamingi,vipi unakumbuka lakini Mhe,Mnyika aliwahi sema bungeni kwamba Jk ni Rais dhaifu na tunahitaji Rais dikiteta asiecheka na mtu?
 
"Kwangu Mimi JPM alichohalibu ni swala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikua kichwa Sana tukichukulia na nchi ilipokua imefkia."

Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani, mengine ni kuendekeza sana kupata sifa binafsi mpaka kufikia kusema vitu kama hakuna corona ambayo ilichangia vifo vya wengi. Lakini kuna vitu lazima tukubali amejitahidi especially miundombinu.

Unatakwimu za korona au unaropoka tu!!
 
Back
Top Bottom