Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Katika viongozi ambao wamerudisha nyuma maendeleo ya nchi hii, kuleta ubaguzi na mifarakano katika jamii ni Magufuli! Afadhali alivyopotea kwa sababu angeipeleka nchi kubaya sana na hata kusababisha vita vya sisi wenyewe!
Unakumbuka wabunge wa upinzani walishawahi kusema Tena mala nyingi kwamba tunahitaji Rais dikiteta kwa maana eti Jk ni Zaifu?
 
Kikwete angeendelea walau kwa miaka mitano mbele tungekuwa tumeshaondoka kwenye kundi la nchi maskini na uchumi ungepata kwa mwendo wa swala kama sio mwendo wa duma.

Nchi mbalimbali za Afrika wangekuja kwetu kujifunza jinsi ya kukuza uchumi kwa kasi. Tatizo la Watanzania wengi ni sadists hivyo hatupendi mafanikio ya wengi na tunapenda kuona watu wakiwa na maisha ya chini kuliko sisi ili watunyenyekee.

Pia hata sisi wenyewe pia tukifanikiwa hujiona miunguwatu na kuwa limbukeni.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kikwete yupi!! Unaelewa unachobwabwaja
 
Ben na Azory wangekuwa hai, Lissu asingepata hayo majeraha..

Sabaya asingekuwa na mashtaka leo hii - Tanzania daima na Mwanahalisi yangekuwepo mtaani.

Bunge lingering 50% kwa CCM na Upinzani...
Lakini mliomba wenyewe kwa MUNGU kwamba mnahitaji Rais dikiteta na maombia yakajibiwa vizuri Sana na hatimae akaja JPM.
 
Pasko Mayala,Mshana Jr,Tindo, Gentacimine,Mrangi nk mnakalibishwa Sana kuchangia.
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????



Kweli kabisa.
Ulitaak aende Kenya na bajaji?. Shirika la ndege linazo nane na ni kazi ya Hayati Magufuli. Hakuna anayeumbwa na Mungu amfurahishe kila mtu, wenye kuthamini alichokifanya tutaendelea kukumbuka utumishi wake.
 
Lakini mliomba wenyewe kwa MUNGU kwamba mnahitaji Rais dikiteta na maombia yakajibiwa vizuri Sana na hatimae akaja JPM.
Nani alihitaji Rais muuaji bwana shee..unaua hadi vijana wadogo wanakupa vi challenge vya hapa na pale kweli?
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????
JPM alikuwa ni kiongozi mwenye kufanana sana na mahitaji ya nchi yetu. Uonevu ulikuwa umezidi na watu wakijiona ni miungu watu.

Kulikuwa na umafia wa hali ya juu, mitandao ya unyanganyi wa mali za watu ukiongozwa na wafanyakazi wa serikali, hatukuogopana kiasi cha kuoneana huku tukijua yule anayeonewa hana uwezo wa kumfanya chochote muoneaji.

Reli mara ya mwisho kufika Moshi ilikuwa 1995 JPM mwaka jana kaifufua hiyo safari Wachagga wameenda krismasi wakitandika pombe kwenye mabehewa. Hivi sasa kuna wataalam wa masuala ya masuala ya reli 120 wamesomeshwa pale NIT ili wakati SGR ikianza kazi tuwe tayari na wataalam wazalendo.

Ndege hizi kama sio uwezo wa kufuatilia aliokuwa nao RIP zisingenunuliwa. Twiga asingeonekana angani, Mama Samia asingesafiri kwenda Kenya na Uganda akijinafasi.

Hayati alikuwa na udhaifu wake wa hasira na maamuzi yenye kuumiza wengi. Ukitaka tajiri aishi kama shetani maana yake unamuua na njaa mfanyakazi wake. Manji alienda zake Canada, Mo Dewji anaweza kwenda zake South Africa, Bakhresa anaweza kuishi Dubai au New York, tatizo ni yule dereva wake, tatizo ni yule mfanyakazi wa kampuni yake anayesomesha na kulea familia.

Hayati alikuwa na matatizo ya kiafya ambayo ni makubwa, ilikuwa ni vigumu kwake kuwa na amani ya kiakili ikiwa ndani ya moyo kumewekwa kitu cha kumsaidia kupumua. Alikuwa ni mkiwa anayeishi miongoni mwa watu wengi kwa wakati mmoja.

Mungu natumaini amemsamehe madhambi yake kwa kuweza kupata sakramenti ya mwisho siku aliyoaga dunia

Sijawahi kuikubali style ya uongozi wa mwendazake
Nalog off
Kweli kabisa.
Ulitaak aende Kenya na bajaji?. Shirika la ndege linazo nane na ni kazi ya Hayati Magufuli. Hakuna anayeumbwa na Mungu amfurahishe kila mtu, wenye kuthamini alichokifanya tutaendelea kukumbuka utumishi wake.
Nimekuuliza hao wengine walitumia bajaji,baiskeli,ungo,gari,treni au meli kuzunguka ulimwengu kabla ya Magufuli kutawala????
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????



Kweli kabisa.

Nimekuuliza hao wengine walitumia bajaji,baiskeli,ungo,gari,treni au meli kuzunguka ulimwengu kabla ya Magufuli kutawala????
Nimeongelea kufufuliwa kwa shirika la ndege lililokuwa limekufa. Wao kusafiri na ndege hakumaanishi kwamba shirika lilikuwa lipo vizuri.
 
Eeheee! Ilikuwaje nchi akapewa hayati? Hivi hayati wanafanyaga kazi duniani au kuzimu? Sijaelewa hata kidogo.
 
Kikwete angeendelea walau kwa miaka mitano mbele tungekuwa tumeshaondoka kwenye kundi la nchi maskini na uchumi ungepata kwa mwendo wa swala kama sio mwendo wa duma.

Nchi mbalimbali za Afrika wangekuja kwetu kujifunza jinsi ya kukuza uchumi kwa kasi. Tatizo la Watanzania wengi ni sadists hivyo hatupendi mafanikio ya wengi na tunapenda kuona watu wakiwa na maisha ya chini kuliko sisi ili watunyenyekee.

Pia hata sisi wenyewe pia tukifanikiwa hujiona miunguwatu na kuwa limbukeni.
We acha hizo! Kikwete! Umesahau yaliyokuwa yakifanyika nchi hii? Au unaangalia watu walivyoiba na kujenga magorofa ndo unadhani zingekuwa mali ya serikali? Nchi ilikuwa inakusanya bilioni 800 kwa mwezi yaani trioni 9 kwa mwaka. Hiyo ingekuondoaje kwenyeskini?

Huyo hakuwa rais.
 
Yani unakubali tulikuwa tunahitaji rais dikteta, halafu unasema JPM aliharibu democracy.

Mbona kama unajipinga mwenyewe?
Kiranga,ni kweli najichanganya lakini ni kutokana na hali ilivokuwa kwa kipindi hicho ndo Mana naonekana kama vile najichanganya.
Sasa naomba nikuulize unazani ni kwa nini hata Akina Mhe;mbowe walikua wanasema tunahitaji Rais dikiteta? Vipi unazani hata kama Mhe;Lowasa angekua Rais kwa hali ya upinzani ambayo ilikuwepo je nae asingekua dikiteta katika utawala wake? Ili aizibiti serikali vizuri?
 
Kwa

Kwa hiyo na wewe unataka ubabe uwe kama mwarabu.

Kinacho ni shangaza ni pale ambako watu wana sema eti magufuli aliharibu uchumi Wa inch na wakati wake ndipo TZ ili panda kwenye uchumi Wa Kati
My friend DRC tungeli pata rais kama magufuli Hakika tungeli panda saana
Bali kuna wapumbavu fulani ambao wana taka kuaribu CV ya john pombe magufuli king lion of afrika kama ninyi wa TZ you don’t know samani yake kuna wenzenu ufaransa walipigana kwasababu yake kuna wenzenu afrika ya kati wali mlilia and I say na huu ndo ukweli mtukane msitukane museme au msiseme huu ndio ukweli
In text years TZ will be like DRC na fikiri nime maliza naombeni MUngu help you uhai

Yule mliye mpata na kumtukana


Ipo siku kweli mtamkumbuka kama alivyo sema like Mobutu DRC watu tuli msema vibaya but see DRC for right now even Rwanda beat us and now we remember Mobutu
 
Dikteta mwendazake hakuna chochote alichofanya kwa faida ya Watanzania the worst president ever? Unafanyaje mazuri kisha uchumi unaanguka, maisha yanazidi kuwa magumu, na Wafanyakazi kwa miaka sita hawaongezewi mishahara? 😳

Hayo yote yameangukia kwenye swala la Uchumi na Democracy.Upo sahihi kwa mtazamo wako Wala sikupingi lakini nazani yote ni kwa Sababu kipindi anachukua nchi presure ilikua kubwa ukiizingatia upinzani ulikua mkubwa Sana .Kuitoa nchi kwenye mazoea na kuiweka sawa ilifkia kipindi akawa anajihami na Katika kujihami ikapelekea kuumiza watu.

Hata na Mimi nikili kaniumiza kiuchumi pakubwa Sana lakini nshamsamehe na bado nakili Kuna vitu kafanya kwa faida ya Nchi
 
We acha hizo! Kikwete! Umesahau yaliyokuwa yakifanyika nchi hii? Au unaangalia watu walivyoiba na kujenga magorofa ndunadhani zingekuwa mali ya serikali? Nchi ilikuwa inakusanya bilioni 800 kwa mwezi yaani trioni 9 kwa mwaka. Hiyo ingekuondoaje kwenyeskini?

Huyo hakuwa rais.
Takwimu za nadharia kumfurahisha mwendazake je hayo makusanyo ya mwendazake yalifanya nini miaka mitano watu bila ajira,maisha ya shida,biashara kuyumba,wafanyakazi kutopandishwa madaraja,huoni kuwa mwendazake ni mwizi namba one Tanzania.
 
Unawalazimisha watu kuchangia huu upuuzi ulioandika hapa?

Magu alikuwa raisi mbovu kuliko maraisi wote waliokwisha tawala nchi hii.

Huwezi kutawala nchi kama familia yako!
King Bill :Naheshimu Sana mawazo yako pia naomba nikuulize lakini punguza kwanza jazba .Unazani hata Lowasa kama angekua Rais he asingekua dikiteta kwa hali ya kisisa ilivokuwa? Maana presure ya kisiasa ilikua juu Sana kwa kipindi hicho,naomba mawazo yako kwa kuangalia Hali ilivokuwa mwaka 2015.
 
Back
Top Bottom