Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

We acha hizo! Kikwete! Umesahau yaliyokuwa yakifanyika nchi hii? Au unaangalia watu walivyoiba na kujenga magorofa ndo unadhani zingekuwa mali ya serikali? Nchi ilikuwa inakusanya bilioni 800 kwa mwezi yaani trioni 9 kwa mwaka. Hiyo ingekuondoaje kwenyeskini?

Huyo hakuwa rais.

Bora kiduchu chenye faida ktk nchi nzima kuliko kingi kisicho na faida kwa nchi nzima, bali kina faida sehemu ndogo tu ya nchi (Chato).

Takwimu za nadharia kumfurahisha mwendazake je hayo makusanyo ya mwendazake yalifanya nini miaka mitano watu bila ajira,maisha ya shida,biashara kuyumba,wafanyakazi kutopandishwa madaraja,huoni kuwa mwendazake ni mwizi namba one Tanzania.

WALOLA VUNZYA tuko pamoja.
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Wengine wanajiuliza, “hivi ingekuwaje kama Mungu asingemchukuwa mja wake?!”
 
Wewe ni ukiaji wa uchumi unangalia mengi sio hayo tu, kipindi cha Magufuri Miundombunu muhimu ilijengwa ambayo niyakukuza uchumi,amefufua mashirika mengi ya uzalishaji yaliyokuwa yamekufa,amejenga mji wa Dodoma, alijitaidi sana kupunguza foreen ktk jiji la dar-as-salaam ambao ilikuwa inapoteza mabilion ya shiling.Kama uwekezaji ndio ungelikuwa ni ndio kiashiria cha kukuza uchumi,ktk utawala wa Kikwete Tanzania ingelikuwa uchumi wa juu na si wakati, maana Kikwete ali leta wawekezaji wa kila aina lakini hata uchumi wa chini atukufika kwa miaka 10,alafu jua ya kwamba kuwa na uchumi wa kati sio kila Mtu atakuwa na pesa mfukoni, Kenya wanauchumi nzuri kuliko Tanzania kwa miaka mingi lakini nenda Kenya angalia maisha yao,hautatamani kuishi Kenya.Hata huko Ulaya wenye chumi kubwa zaidi kuliko huku sio kila Mtu anapesa.
Magufuli ndiye Raisi aliyekuza uchumi kwa rate kiduchu sana ukilinganisha na watangulizi wake. Obvious, graph ya ukuaji wa uchumi ilikuwa ikishuka siku hadi siku.
Thanks for termination of his regime.
 
Kwanini uumize watu wengine kwa insecurities zako binafsi, Tena yeye aliyejiona mzalendo badala atendee ushaur wa wapinzani akawa anawatesa,naona katutudisha nchi yetu hatua nyingi nyuma.

hatua zipi nyuma?
 
Tatizo jamaa hakuwa na uelewa kabisa juu ya wapi Dunia ilipo kwa sasa kiasi akaanza kuifanya nchi nzima kuwa against Dunia
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Sasa kama umeishasema alichemka kwenye uchumi alikuwa wanini huyo? Make hata hiyo 2015 unayosema tuliangalia zaidi kuwa uchumi uliharibika

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni ukiaji wa uchumi unangalia mengi sio hayo tu, kipindi cha Magufuri Miundombunu muhimu ilijengwa ambayo niyakukuza uchumi,amefufua mashirika mengi ya uzalishaji yaliyokuwa yamekufa,amejenga mji wa Dodoma, alijitaidi sana kupunguza foreen ktk jiji la dar-as-salaam ambao ilikuwa inapoteza mabilion ya shiling.Kama uwekezaji ndio ungelikuwa ni ndio kiashiria cha kukuza uchumi,ktk utawala wa Kikwete Tanzania ingelikuwa uchumi wa juu na si wakati, maana Kikwete ali leta wawekezaji wa kila aina lakini hata uchumi wa chini atukufika kwa miaka 10,alafu jua ya kwamba kuwa na uchumi wa kati sio kila Mtu atakuwa na pesa mfukoni, Kenya wanauchumi nzuri kuliko Tanzania kwa miaka mingi lakini nenda Kenya angalia maisha yao,hautatamani kuishi Kenya.Hata huko Ulaya wenye chumi kubwa zaidi kuliko huku sio kila Mtu anapesa.
Sasa kipi kizuri, kuwa na uchumi wa kati watu waendwlee kufa na njaa au kuwa na uchumi wa kawaida watu wale bata!!!
 
Katiba mpya ni muhimu.

Lakini je, katiba mpya watu wataitumia?

Maana ya sasa hivi inawapa uhuru watu kufanya mikutano ya kisiasa popote nchini. Rais kaivunja kasema uchumi kwanza.Mikutano inayoruhusiwa na katiba anaibana.

Sasa, katiba mpya ikija halafu rais akaivunja watu watafanya nini?

A law that is unenforceable is as good as none.

Wananchi wa Tanzania wanaelewa kwamba maneno yaliyo katika katiba hayachomoki kutoka katika katiba na kuwawekea adabu watawala?

Wananchibwa Tanzania wanaelewa kwamba watu ndio wanaowashurutisha watawala kubadilika?

Mimi pia naitaka katiba mpya, don't get me wrong.

Lakini, napata wasiwasi kidogo ninapoona ya sasa inavunjwa na watu hawafanyi kitu.

Tukipata mpya ikavunjwa watu watafanya nini cha tofauti?

Tusije kuwa kama mtu anayelalamika gari alilopewa ni mkweche, anataka Ferrari gari ya thamani na mwendokasi sana. Halafu akapewa Ferrari, tukaja k8mugundua kwamba huyu bwana tatizo lake si gari kuwa bovu.

Tatizo lale yeye mwenyewe hajui kuendesha gari lolote lile!
Kwa mawazo yako jamii yetu ya kitanzania badi ipo gizani na haijui haki zake basi bado shida ipo ,lakini kwa ushauli wangu ni kwamba ,
Nchi yetu inabidi ije na mkakati madhubuti wa kuondoa umasikini .

Umasikini ndo chanzo Cha yote haya.Umaskini ukitokomezwa watu watajua haki zao na hatamae viongozi wasiofaa watawajibishwa na jamii .
 
Kwa mawazo yako jamii yetu ya kitanzania badi ipo gizani na haijui haki zake basi bado shida ipo ,lakini kwa ushauli wangu ni kwamba ,
Nchi yetu inabidi ije na mkakati madhubuti wa kuondoa umasikini .

Umasikini ndo chanzo Cha yote haya.Umaskini ukitokomezwa watu watajua haki zao na hatamae viongozi wasiofaa watawajibishwa na jamii .
Huwezi kumaliza umasikini kabla watu hawajajua haki zao.

Watu wanajua haki zao kwanza, halafu ndiyo wanaondoa umasikini.

Kama hujui haki zako, utadhulumiwa tu kila siku, na hivyo huwezi kumaliza umasikini.
 
Huwezi kumaliza umasikini kabla watu hawajajua haki zao.

Watu wanajua haki zao kwanza, halafu ndiyo wanaondoa umasikini.

Kama hujui haki zako, utadhulumiwa tu kila siku, na hivyo huwezi kumaliza umasikini.
Sawa Kiranga ,Sasa kwa maoni yako nini kifanyike ili tuwe kama nchi nyingine za kupigiwa mfano
 
Sawa Kiranga ,Sasa kwa maoni yako nini kifanyike ili tuwe kama nchi nyingine za kupigiwa mfano
Kuna mambo ya kufanya pande zote mbili, pande za wananchi na za watawala.

Wananchi inawabidi waji assert, kujielimisha na kudai haki zao.

Watawala wanatakiwa kufungua mifumo na kufanya ushirikishwaji wa umma zaidi kuruhusu wananchi kuchangia moja kwa moja zaidi maendeleo ya nchi.

Mambo ni mengi sana na unaweza kuandika kitabu usikimalize, lakini hili ndilo kubwa kabisa.
 
Sasa kama mtu ameua uchumi na demokrasia,tumkumbuke kwa lipi?..
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Useme tu ingekuwaje kama mara tu baada JK angeingia SSH?
 
Magufuli hakuheshimu katiba, aliminya haki za wananchi, Alileta siasa za biashara za kununua watu, Aliiba chaguzi serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwa kiwango cha Kutisha, Aliua watu Zanzibar, Akaunda magenge ya wasiojulikana, wakateka, wakaua watu hivihivi bila hofu, Akatumia pesa za nchi bila due process, Alikuwa mkanda, Akanajisi bunge, vyombo vya habari na mahakama, Alikuwa katili alivunja nyumba za wananchi wakati kuna zuio la Mahakama, Akateua na kulinda viongozi washenzi kama akina Sabaya na Makonda, Alikuwa muongo, msanii asiye na lugha za staha.

Kiufupi huyo Magufuli wako alikuwa tje worst president, hatuwezi kumuweka katika kundi la marais wazuri wa nchi hii
Una ushahidi wa hivi vitu ulivyoandika. Au nawwe umemezeshwa cassette ukiplay inapiga nyimbo zilizorekodiwa.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Sasa kama aliharibu demokrasia na uchumi kipi kinachofaa kumpa sifa ?
 
Kikwete angeendelea walau kwa miaka mitano mbele tungekuwa tumeshaondoka kwenye kundi la nchi maskini na uchumi ungepata kwa mwendo wa swala kama sio mwendo wa duma.

Nchi mbalimbali za Afrika wangekuja kwetu kujifunza jinsi ya kukuza uchumi kwa kasi. Tatizo la Watanzania wengi ni sadists hivyo hatupendi mafanikio ya wengi na tunapenda kuona watu wakiwa na maisha ya chini kuliko sisi ili watunyenyekee.

Pia hata sisi wenyewe pia tukifanikiwa hujiona miunguwatu na kuwa limbukeni.
Itoshe kusema akili yako kuna sehemu imeganda. Mtu kakaa miaka 10 hali ilikua vile. Halafu unasema angeongezewa miaka 5 mingine nchi ingeondoka kwenye umasikini?

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Hayo yote yameangukia kwenye swala la Uchumi na Democracy.Upo sahihi kwa mtazamo wako Wala sikupingi lakini nazani yote ni kwa Sababu kipindi anachukua nchi presure ilikua kubwa ukiizingatia upinzani ulikua mkubwa Sana .Kuitoa nchi kwenye mazoea na kuiweka sawa ilifkia kipindi akawa anajihami na Katika kujihami ikapelekea kuumiza watu.

Hata na Mimi nikili kaniumiza kiuchumi pakubwa Sana lakini nshamsamehe na bado nakili Kuna vitu kafanya kwa faida ya Nchi
Kipi ?
 
Nawasalimu ndugu zangu, natumai hamjambo wote.

Ndugu zangu sote tunakumbuka ni wapi nchi yetu ilipokuwa imefkia kwa ufupi ilikuwa inaenda shimoni kwa maana kila kitu kiliharibika na alihitajika kiongozi mwenye kaliba ya JPM kuitoa nchi Mahali ilipokuwa.

Nani hakumbuki hata viongozi wa upinzani waliwahi sema tunahitaji Rais dikiteta? Na kweli walikuwa sahihi kabisa manake tulikuwa pabaya mno.

Fikirieni nchi hadi tukawa hatuna Tena ndege, shirika la reli limekufa, huduma za jamii zimezolota kabisa. Kwa ufupi tufika pabaya mno kama nchi na suluhisho ilikua ni lazima apatikane mtawala kama JPM ili aweke nchi sawa kwanza ili baadaye ndo tuje tupate kiongozi.
Tatizo la JPM Naona alifanya kazi hadi akapitiliza.

Kwangu Mimi JPM alichoharibu ni suala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikuwa kichwa sana tukichukulia na nchi ilipokuwa imefikia.

Nawakumbusha Tena kwa tulipokuwa tumefika ilikuwa ni lazima tumpate JPM ili kuiweka nchi kwenye mstari.

Kwa hiyo tumpe sifa zake na yale mabaya aliyofanya tuchukue kama Somo ili tusonge mbele ndugu zangu.
Hiyo demokrasia na uchumi ndivyo city muhimu kuliko hayo yote aliyoyafanya wakati watu wameuliwa wengine wameptea wengine wameokotwa kwenye viroba na kuzikwa bila uchunguzi kufanyika sisi tunamshukuru mungu kwa kumuondsha mapema ingawa alimpa muda kidogo na inshallah amuadhibu kama anavyostahiki amin.
 
Back
Top Bottom