Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Nani alihitaji Rais muuaji bwana shee..unaua hadi vijana wadogo wanakupa vi challenge vya hapa na pale kweli?
Fuso:unazijua sifa za dikiteta lakini? Pia Mheshimiwa JJ Mnyika aliwahi sema bungeni kwamba kwa hali taifa lilipofikia tunahitaji Rais dikiteta,Sasa yaliyotekea ni kutokana na huo udikiteta so tusilaumu Sana lakini Liwe funzo kwetu maana maneno huumba .
Suluhisho tuipiganie KATIBA MPYA ili haya yasitokee tena
 
Dikteta mwendazake hakuna chochote alichofanya kwa faida ya Watanzania the worst president ever? Unafanyaje mazuri kisha uchumi unaanguka, maisha yanazidi kuwa magumu, na Wafanyakazi kwa miaka sita hawaongezewi mishahara? [emoji15]
BAK; mawazo yako ni mazuri Sana lakini ebu ludi nyuma kwanza uone siasa ya mwaka 2015 chukua muda ufikilie vizuri,je kwa mazingira yaliyokuwepo hasa upinzani kati ya Chadema na CCM je unazani hata kama Lowasa angekua Rais asingekua dikiteta kwa kuyazingatia mazingira ya kisiasa yalivokua ? Je asingefanya hivo ili kuyazibiti madaraka vizuri? Tupe maoni yako
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
😳😳😳

BAK; mawazo yako ni mazuri Sana lakini ebu ludi nyuma kwanza uone siasa ya mwaka 2015 chukua muda ufikilie vizuri,je kwa mazingira yaliyokuwepo hasa upinzani kati ya Chadema na CCM je unazani hata kama Lowasa angekua Rais asingekua dikiteta kwa kuyazingatia mazingira ya kisiasa yalivokua ? Je asingefanya hivo ili kuyazibiti madaraka vizuri? Tupe maoni yako
 
Kiranga,ni kweli najichanganya lakini ni kutokana na hali ilivokuwa kwa kipindi hicho ndo Mana naonekana kama vile najichanganya.
Sasa naomba nikuulize unazani ni kwa nini hata Akina Mhe;mbowe walikua wanasema tunahitaji Rais dikiteta? Vipi unazani hata kama Mhe;Lowasa angekua Rais kwa hali ya upinzani ambayo ilikuwepo je nae asingekua dikiteta katika utawala wake? Ili aizibiti serikali vizuri?
Weka kauli za hao watu katika uhalisi wake na muktadha mzima tuzijadili kwa kina.

Lowassa hajawa rais hivyo siwezi kuongelea urais wake.
 
Mafutamingi,vipi unakumbuka lakini Mhe,Mnyika aliwahi sema bungeni kwamba Jk ni Rais dhaifu na tunahitaji Rais dikiteta asiecheka na mtu?
Dicteta asiekubali mali za nchi kuliwa na wajanja na kushughulika na hujuma zote dhidi ya ufisadi seriously.Tafsiri ya Mnyika ndio hiyo sio kama jamaa yenu kuja kuinyamazisha nchi nzima na kumsujudia,uuaji,utesaji,utekaji ni mengi aliyofanya ya uovu kinyume cha haki za binadamu.Sijui alikuwa anaipeleka wapi hii nchi.
 
Takwimu za nadharia kumfurahisha mwendazake je hayo makusanyo ya mwendazake yalifanya nini miaka mitano watu bila ajira,maisha ya shida,biashara kuyumba,wafanyakazi kutopandishwa madaraja,huoni kuwa mwendazake ni mwizi namba one Tanzania.
Kwa hiyo hata Samia anasema uongo kusema anakusanya trilioni 1. ......?
Tuna mengi yanayotusumbua vichwani, ikiwa pamoja na extreme ignorance.
 
Weka kauli za hao watu katika uhalisi wake na muktadha mzima tuzijadili kwa kina.

Lowassa hajawa rais hivyo siwezi kuongelea urais wake.
Kiranga:Ni kweli huwezi upo sahihi lkini napenda kukufahaimisha tu ujie Mimi sio kwamba natetea yaliyofanyika ambayo hayakua mazuri .Mimi nimeweka hii mada iwe kama funzo kwa yaliyotekea ili tujifinze na tusiludie Hilo hayo makosa kama taifa .Inabidi tuipiganie KATIBA MPYA kama kweli tunahitaji tusonge mbele.
 
Dicteta asiekubali mali za nchi kuliwa na wajanja na kushughulika na hujuma zote dhidi ya ufisadi seriously.Tafsiri ya Mnyika ndio hiyo sio kama jamaa yenu kuja kuinyamazisha nchi nzima na kumsujudia,uuaji,utesaji,utekaji ni mengi aliyofanya ya uovu kinyume cha haki za binadamu.Sijui alikuwa anaipeleka wapi hii nchi.
Vonix,Nisikilize vizuri Yani hata Leo hii akitokea Rais mzalendo kwelikweli ambae atataka nchi iwe yenye usawa kwanza atavunja mikataba yote ya Madini ili tuanze upya vipi unazani hizo kampuni zitakazovunjiwa mikataba hawatalalamika ? Sasa hao ni wawekezaji manake watafunga kazi zao na watakaoumia ni raia kwa kukosa kazi na hatimae Uchumi utasinyaa.pia pia huyo Rais itabidi awashitaki wezi wote wa Mali za uma na badae Mali zilidu selekalini vipi hamtasema Rais anafilisi watu wake?
Kumbuka ; ukifata ukitawala masikini na ukafata sheria zote za nchi inavotakiwa basi jua utaumiza wananchi wako kwa maana watu hawana kazi rasmi .
 
Watakatifu tuombe sana toba kwa ajili ya uovu wa Watanzania wachache hasa waliomo humu jf.!! Mijadala mingine ni machukizo sana mbele za Mungu.
Chukua tahadhari ndugu yangu ushiriki dhambi za wengine.
Yesu Kristo anasema "asiyekuwa na dhambi awe wa kwanza kumpiga jiwe huyu mwanamke..."
JPM amemaliza kazi yake njema aliyotumwa kwa Watanzania. Tuwaombee viongozi wetu waliopo watuletee maendeleo.
Mubarikiwe wote wenye masikio yanayosikia!
 
Kiranga:Ni kweli huwezi upo sahihi lkini napenda kukufahaimisha tu ujie Mimi sio kwamba natetea yaliyofanyika ambayo hayakua mazuri .Mimi nimeweka hii mada iwe kama funzo kwa yaliyotekea ili tujifinze na tusiludie Hilo hayo makosa kama taifa .Inabidi tuipiganie KATIBA MPYA kama kweli tunahitaji tusonge mbele.
Katiba mpya ni muhimu.

Lakini je, katiba mpya watu wataitumia?

Maana ya sasa hivi inawapa uhuru watu kufanya mikutano ya kisiasa popote nchini. Rais kaivunja kasema uchumi kwanza.Mikutano inayoruhusiwa na katiba anaibana.

Sasa, katiba mpya ikija halafu rais akaivunja watu watafanya nini?

A law that is unenforceable is as good as none.

Wananchi wa Tanzania wanaelewa kwamba maneno yaliyo katika katiba hayachomoki kutoka katika katiba na kuwawekea adabu watawala?

Wananchibwa Tanzania wanaelewa kwamba watu ndio wanaowashurutisha watawala kubadilika?

Mimi pia naitaka katiba mpya, don't get me wrong.

Lakini, napata wasiwasi kidogo ninapoona ya sasa inavunjwa na watu hawafanyi kitu.

Tukipata mpya ikavunjwa watu watafanya nini cha tofauti?

Tusije kuwa kama mtu anayelalamika gari alilopewa ni mkweche, anataka Ferrari gari ya thamani na mwendokasi sana. Halafu akapewa Ferrari, tukaja k8mugundua kwamba huyu bwana tatizo lake si gari kuwa bovu.

Tatizo lale yeye mwenyewe hajui kuendesha gari lolote lile!
 
Unakumbuka wabunge wa upinzani walishawahi kusema Tena mala nyingi kwamba tunahitaji Rais dikiteta kwa maana eti Jk ni Zaifu?
Nakerwa sana pale Mtanzania unashindwa kuandika kiswahili fasaha!

"Mala" ndiyo nini?

Pumbavu!
 
Alikuwa kiongozi mkuu wa Serikali ya Majambazi, alituachia Bunge la Vilema na Mahakama ya Dhulma. Alijipa hatimilki ya Uhuru, Haki na Uhai wa wananchi. Kwa kifupi alikuwa Hitler wa taifa hili...hakujua utu wala ubinadamu, hakuwa na hekima wala busara, hakuwa na sifa yoyote ya kuongoza viumbe vyenye akili na hivyo kwa Taasisi ya Vilaza kama CCM yawezekana alikuwa kiongozi sahihi.
 
Kinacho ni shangaza ni pale ambako watu wana sema eti magufuli aliharibu uchumi Wa inch na wakati wake ndipo TZ ili panda kwenye uchumi Wa Kati
My friend DRC tungeli pata rais kama magufuli Hakika tungeli panda saana
Bali kuna wapumbavu fulani ambao wana taka kuaribu CV ya john pombe magufuli king lion of afrika kama ninyi wa TZ you don’t know samani yake kuna wenzenu ufaransa walipigana kwasababu yake kuna wenzenu afrika ya kati wali mlilia and I say na huu ndo ukweli mtukane msitukane museme au msiseme huu ndio ukweli
In text years TZ will be like DRC na fikiri nime maliza naombeni MUngu help you uhai

Yule mliye mpata na kumtukana


Ipo siku kweli mtamkumbuka kama alivyo sema like Mobutu DRC watu tuli msema vibaya but see DRC for right now even Rwanda beat us and now we remember Mobutu
Hizo zilikuwa proganda mkuu, hakuna uchumi wa kati wala nini. Uchumi unareflect maisha ya watu siyo kukuza uchumi kwenye makaratasi.

Kipindi cha jpm uchumi uliporomoka sana kupita maelezo ila kwa vile watanzania hawapendi kujishughulisha kujua ukweli kupitia takwi sahii ni rahisi kudnganywa kama wewe ulivyodanganya na jpm eti kuna uchumi wa kati.

Indivators za uchumi ni uwekezaji, consumption rate, exports, imports, government spending nk ambavyo vyote vilishuka kipindi cha jpm
 
Hizo zilikuwa proganda mkuu, hakuna uchumi wa kati wala nini. Uchumi unareflect maisha ya watu siyo kukuza uchumi kwenye makaratasi.

Kipindi cha jpm uchumi uliporomoka sana kupita maelezo ila kwa vile watanzania hawapendi kujishughulisha kujua ukweli kupitia takwi sahii ni rahisi kudnganywa kama wewe ulivyodanganya na jpm eti kuna uchumi wa kati.

Indivators za uchumi ni uwekezaji, consumption rate, exports, imports, government spending nk ambavyo vyote vilishuka kipindi cha jpm
Wewe ni ukiaji wa uchumi unangalia mengi sio hayo tu, kipindi cha Magufuri Miundombunu muhimu ilijengwa ambayo niyakukuza uchumi,amefufua mashirika mengi ya uzalishaji yaliyokuwa yamekufa,amejenga mji wa Dodoma, alijitaidi sana kupunguza foreen ktk jiji la dar-as-salaam ambao ilikuwa inapoteza mabilion ya shiling.Kama uwekezaji ndio ungelikuwa ni ndio kiashiria cha kukuza uchumi,ktk utawala wa Kikwete Tanzania ingelikuwa uchumi wa juu na si wakati, maana Kikwete ali leta wawekezaji wa kila aina lakini hata uchumi wa chini atukufika kwa miaka 10,alafu jua ya kwamba kuwa na uchumi wa kati sio kila Mtu atakuwa na pesa mfukoni, Kenya wanauchumi nzuri kuliko Tanzania kwa miaka mingi lakini nenda Kenya angalia maisha yao,hautatamani kuishi Kenya.Hata huko Ulaya wenye chumi kubwa zaidi kuliko huku sio kila Mtu anapesa.
 
"Kwangu Mimi JPM alichohalibu ni swala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikua kichwa Sana tukichukulia na nchi ilipokua imefkia."

Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani, mengine ni kuendekeza sana kupata sifa binafsi mpaka kufikia kusema vitu kama hakuna corona ambayo ilichangia vifo vya wengi. Lakini kuna vitu lazima tukubali amejitahidi especially miundombinu.
We ni wa ajabu sana, ukishaharibu uchumi wewe hufai kwa lolote. Tz haijawahi kuwa na rais wa hovyo kama jpm
 
"Kwangu Mimi JPM alichohalibu ni swala la uchumi na democracy tu lakini kwa vitu vingine huyu jamaa alikua kichwa Sana tukichukulia na nchi ilipokua imefkia."

Naweza kukubaliana na wewe kwa kiasi fulani, mengine ni kuendekeza sana kupata sifa binafsi mpaka kufikia kusema vitu kama hakuna corona ambayo ilichangia vifo vya wengi. Lakini kuna vitu lazima tukubali amejitahidi especially miundombinu.

Kwenye uchumi alikua on the right direction kabisa! Ni muumini wa siasa za china sana, japokua kwenye suala la kuua watu daaah alikua anakosea kiukwel ila sasa tayar ana element za dictator kuna namna ya kwenda nao sawa, NI kama China tu wanavofanya, nlipenda ile movement iliotokea kipindi cha corona dawa za corona zilikua znajitokekeza nyingi sana ndan ya nchi that was a nice movement! na ndo tunapasua kuwaza kwa style hii sasa sio kila kitu wakisema wale jamaa unaitikia tu
 
Back
Top Bottom