Hivi ingekuwaje 2015 kama tusingempata Hayati Magufuli kwa nchi ilipokuwa imefikia?

Katika viongozi ambao wamerudisha nyuma maendeleo ya nchi hii, kuleta ubaguzi na mifarakano katika jamii ni Magufuli! Afadhali alivyopotea kwa sababu angeipeleka nchi kubaya sana na hata kusababisha vita vya sisi wenyewe!
Unakumbuka wabunge wa upinzani walishawahi kusema Tena mala nyingi kwamba tunahitaji Rais dikiteta kwa maana eti Jk ni Zaifu?
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kikwete yupi!! Unaelewa unachobwabwaja
 
Ben na Azory wangekuwa hai, Lissu asingepata hayo majeraha..

Sabaya asingekuwa na mashtaka leo hii - Tanzania daima na Mwanahalisi yangekuwepo mtaani.

Bunge lingering 50% kwa CCM na Upinzani...
Lakini mliomba wenyewe kwa MUNGU kwamba mnahitaji Rais dikiteta na maombia yakajibiwa vizuri Sana na hatimae akaja JPM.
 
Pasko Mayala,Mshana Jr,Tindo, Gentacimine,Mrangi nk mnakalibishwa Sana kuchangia.
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????



Kweli kabisa.
Ulitaak aende Kenya na bajaji?. Shirika la ndege linazo nane na ni kazi ya Hayati Magufuli. Hakuna anayeumbwa na Mungu amfurahishe kila mtu, wenye kuthamini alichokifanya tutaendelea kukumbuka utumishi wake.
 
Lakini mliomba wenyewe kwa MUNGU kwamba mnahitaji Rais dikiteta na maombia yakajibiwa vizuri Sana na hatimae akaja JPM.
Nani alihitaji Rais muuaji bwana shee..unaua hadi vijana wadogo wanakupa vi challenge vya hapa na pale kweli?
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????

Sijawahi kuikubali style ya uongozi wa mwendazake
Nalog off
Kweli kabisa.
Ulitaak aende Kenya na bajaji?. Shirika la ndege linazo nane na ni kazi ya Hayati Magufuli. Hakuna anayeumbwa na Mungu amfurahishe kila mtu, wenye kuthamini alichokifanya tutaendelea kukumbuka utumishi wake.
Nimekuuliza hao wengine walitumia bajaji,baiskeli,ungo,gari,treni au meli kuzunguka ulimwengu kabla ya Magufuli kutawala????
 
Ulitaak aende Kenya na bajaji?. Shirika la ndege linazo nane na ni kazi ya Hayati Magufuli. Hakuna anayeumbwa na Mungu amfurahishe kila mtu, wenye kuthamini alichokifanya tutaendelea kukumbuka utumishi wake.
Kama unachukiwa na wengi pia ni tatizo
 
Mkapa,Kikwete na wengineo walikuwa wanatumia usafiri gani kuzunguka dunia kama Samiah asingeenda Kenya????



Kweli kabisa.

Nimekuuliza hao wengine walitumia bajaji,baiskeli,ungo,gari,treni au meli kuzunguka ulimwengu kabla ya Magufuli kutawala????
Nimeongelea kufufuliwa kwa shirika la ndege lililokuwa limekufa. Wao kusafiri na ndege hakumaanishi kwamba shirika lilikuwa lipo vizuri.
 
Eeheee! Ilikuwaje nchi akapewa hayati? Hivi hayati wanafanyaga kazi duniani au kuzimu? Sijaelewa hata kidogo.
 
We acha hizo! Kikwete! Umesahau yaliyokuwa yakifanyika nchi hii? Au unaangalia watu walivyoiba na kujenga magorofa ndo unadhani zingekuwa mali ya serikali? Nchi ilikuwa inakusanya bilioni 800 kwa mwezi yaani trioni 9 kwa mwaka. Hiyo ingekuondoaje kwenyeskini?

Huyo hakuwa rais.
 
Yani unakubali tulikuwa tunahitaji rais dikteta, halafu unasema JPM aliharibu democracy.

Mbona kama unajipinga mwenyewe?
Kiranga,ni kweli najichanganya lakini ni kutokana na hali ilivokuwa kwa kipindi hicho ndo Mana naonekana kama vile najichanganya.
Sasa naomba nikuulize unazani ni kwa nini hata Akina Mhe;mbowe walikua wanasema tunahitaji Rais dikiteta? Vipi unazani hata kama Mhe;Lowasa angekua Rais kwa hali ya upinzani ambayo ilikuwepo je nae asingekua dikiteta katika utawala wake? Ili aizibiti serikali vizuri?
 
Kwa

Kwa hiyo na wewe unataka ubabe uwe kama mwarabu.

Kinacho ni shangaza ni pale ambako watu wana sema eti magufuli aliharibu uchumi Wa inch na wakati wake ndipo TZ ili panda kwenye uchumi Wa Kati
My friend DRC tungeli pata rais kama magufuli Hakika tungeli panda saana
Bali kuna wapumbavu fulani ambao wana taka kuaribu CV ya john pombe magufuli king lion of afrika kama ninyi wa TZ you don’t know samani yake kuna wenzenu ufaransa walipigana kwasababu yake kuna wenzenu afrika ya kati wali mlilia and I say na huu ndo ukweli mtukane msitukane museme au msiseme huu ndio ukweli
In text years TZ will be like DRC na fikiri nime maliza naombeni MUngu help you uhai

Yule mliye mpata na kumtukana


Ipo siku kweli mtamkumbuka kama alivyo sema like Mobutu DRC watu tuli msema vibaya but see DRC for right now even Rwanda beat us and now we remember Mobutu
 
Dikteta mwendazake hakuna chochote alichofanya kwa faida ya Watanzania the worst president ever? Unafanyaje mazuri kisha uchumi unaanguka, maisha yanazidi kuwa magumu, na Wafanyakazi kwa miaka sita hawaongezewi mishahara? 😳

 
Takwimu za nadharia kumfurahisha mwendazake je hayo makusanyo ya mwendazake yalifanya nini miaka mitano watu bila ajira,maisha ya shida,biashara kuyumba,wafanyakazi kutopandishwa madaraja,huoni kuwa mwendazake ni mwizi namba one Tanzania.
 
Unawalazimisha watu kuchangia huu upuuzi ulioandika hapa?

Magu alikuwa raisi mbovu kuliko maraisi wote waliokwisha tawala nchi hii.

Huwezi kutawala nchi kama familia yako!
King Bill :Naheshimu Sana mawazo yako pia naomba nikuulize lakini punguza kwanza jazba .Unazani hata Lowasa kama angekua Rais he asingekua dikiteta kwa hali ya kisisa ilivokuwa? Maana presure ya kisiasa ilikua juu Sana kwa kipindi hicho,naomba mawazo yako kwa kuangalia Hali ilivokuwa mwaka 2015.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…