Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdadisi kama kuna ukatili aliokutana nao shuleni mf. ulawiti, uonevu n.k. Pia, cheki kama ana makundi mabovu.Anataka akae nyumban tu
.......ushauri mujarabu kabisa huu, aufanyie kazi haraka mleta mada......Mdadisi kama kuna ukatili aliokutana nao shuleni kama ulawiti, uonevu n.k. Pia cheki kama ana makundi mabovu, afya yake labda kagundua ana maambukizi ya ugonjwa fulani hatari so haoni haja ya kujiandalia kesho yake coz anaamini haipo.
Ukijiridhisha hayo yote hayapo na umeshamshauri vya kutosha ila hasikii basi punguza utulivu wake hapo nyumbani.
Hakikisha kila unavyoondoka anaachiwa majukumu hadi aone kushinda nyumbani kugumu. Kufyeka, kulisha mifugo, kuchimba shimo la taka, kupeleka mizigo kwa watu n.k. na ukirudi fatilia kama ametekeleza.
Pole sana, mpeleke magereza huko, akae hata siku 3, umkabidhi kwa wale wanaitwa Kikosi Maalum cha Magereza, au kamata kwa lazima peleka shule za JWTZ, nasema anyooshwe.Wana JF naombeni ushauri wenu
Kuna kijana wangu atakataa kwenda shule, yupo kidato cha kwanza . Nimfanye nini maana kama kupiga nimepiga na kumshauri lakini ambilikiğŸ˜ğŸ˜
Naomba appointment na huyo kijjana for a weekWana JF naombeni ushauri wenu
Kuna kijana wangu atakataa kwenda shule, yupo kidato cha kwanza . Nimfanye nini maana kama kupiga nimepiga na kumshauri lakini ambiliki[emoji24][emoji24]
Mwambie achague fani gani anataka ndio umtafutie akafanye.ila ningemshauri achague umeme wa magari mana unalipa sanaWana JF naombeni ushauri wenu
Kuna kijana wangu atakataa kwenda shule, yupo kidato cha kwanza . Nimfanye nini maana kama kupiga nimepiga na kumshauri lakini ambilikiğŸ˜ğŸ˜
Kama ni mvivu wa kusoma hata huko kwenye fani atakuwa mtegaji tu maana kuna kusoma piamwambie achague fani gani anataka ndio umtafutie akafanye.ila ningemshauri achague umeme wa magari mana unalipa sana
Dawa ni kumpeleka shule ya boarding tu akapambane na walimu wanoko huko atanyooka atake asitake.Pole sana, mpeleke magereza huko, akae hata siku 3, umkabidhi kwa wale wanaitwa Kikosi Maalum cha Magereza, au kamata kwa lazima peleka shule za JWTZ, nasema anyooshwe.
Kama ni mvivu wa kusoma hata huko kwenye fani atakuwa mtegaji tu maana kuna kusoma pia
sio veta.ampeleke gereji ya magari akajifunze umeme wa magari hyo fani inalipa sana tena ina pesa kuliko mtu anaefanya kazi ofisini. mimi nilikataa shule nikapelekwa gereji mpaka nimekuwa fundi mzuri tu. na nina vitega uchumi vingi nyumba3 hapa dar na nyumbani kwetu moshi nimejenga pia. nimewafundisha vjana wengi na nimewatoa na wana maisha mazuri tu nafamilia zaoKama ni mvivu wa kusoma hata huko kwenye fani atakuwa mtegaji tu maana kuna kusoma pia
Hongera mchagasio veta.ampeleke gereji ya magari akajifunze umeme wa magari hyo fani inalipa sana tena ina pesa kuliko mtu anaefanya kazi ofisini. mimi nilikataa shule nikapelekwa gereji mpaka nimekuwa fundi mzuri tu. na nina vitega uchumi vingi nyumba3 hapa dar na nyumbani kwetu moshi nimejenga pia. nimewafundisha vjana wengi na nimewatoa na wana maisha mazuri tu nafamilia zao
Ujue dalili ya mvua ni mawingu wazazi wengi wanashtukia mchezo kazi imeisha Yani kumuwashia taa kipofu ni kujiharibia mafuta ilibidi uanze kumshape toka mapema na umuondoe na makundi ila sahizi umechelewa utumie nguvu nyingi sana kumsaidiaWana JF naombeni ushauri wenu.
Kuna kijana wangu atakataa kwenda shule, yupo kidato cha kwanza . Nimfanye nini maana kama kupiga nimepiga na kumshauri lakini haambiliki[emoji24][emoji24]